Women like bad boys. Usijifanye mlaini sana kwa kujitahidi kuwatimizia mahitaji yao, wanawake wengi hawapendi wanaume wa aina hiyo. Hauvutii,unaonekana mtoto wa mama. Men who have psychopathic tendencies usually get more dates than the average male
HahahhaDogo naona hiyo ndo best pic yake, kila uzi anaiweka. Anajiona anauza mwenyewe
Kazi kweli kweli
the Legend☆
kuvaa c kwa utash wa wakat, mbna wanao vaa vkuku wao hamuwaulz ni wa mkoa gan!!?Toka siku umejiunga JF ukiweka uzi unaweka na picha umevaa nguo hii hii.
Ulitakiwa upitie nyuzi tofauti za humu uone kuwa hii sio sawa na FB...upo mkoa gani bado mnavaa moka nyeupe?
Sent using Jamii Forums mobile app
huo ni mtazamo wako, iv unadhan wa2 2ngekua xaw kwa @ ki2 kuna haja gan ya kuwepo na majukwaa ya fation!!?
Hahahhaa nadhani hata tunaovaa kaptula hutaki kutuona kabisaaTuachane na mambo ya mwandiko.
Tuongelee suala la picha.
Kwa hiyo huyo ndiyo wewendani ya swaga
.
Nachukia mwanaume anayevaa hizo surual jamanimnisamehe tuu. HUWA HAMPENDEZI
Tuachane na mambo ya mwandiko.
Tuongelee suala la picha.
Kwa hiyo huyo ndiyo wewendani ya swaga
.
Nachukia mwanaume anayevaa hizo surual jamanimnisamehe tuu. HUWA HAMPENDEZI
kuvaa c kwa utash wa wakat, mbna wanao vaa vkuku wao hamuwaulz ni wa mkoa gan!!?
Sent using Jamii Forums mobile app
hata kama ni ya kipapa wemba, kwan papa wemba hakuwa na mwanamke alie zjar na kuheshim hisia zake!!?naona mikato ya papa wemba, ni haki akunyime maana hujisomi.
kwann liwe la sherehe kak, toa 7buYaaah yako poa,
Ila pia ukivaa hivo kwa harusi watu watakuona fololo.
Jamaa pale juu alivo uma kitambaa, ilo ni vazi la sherehe hasa mimi nadhan.
Sent using Jamii Forums mobile app
pole sana tafuta mwinginehata kama ni ya kipapa wemba, kwan papa wemba hakuwa na mwanamke alie zjar na kuheshim hisia zake!!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekuw dogo tena, umri umeenda xnDogo umependeza ila subiri kidogo umri uongezeke
Nilichogundua wewe ni mbinafsi...sasa kwanini umeweka picha yako tu?
Weka na ya kwake ukiambatanisha na number yake ya simu wadau wakamkanye aache tabia ya kuwasiliana na wanaume wengine



alie sema utam wa pp mate yko, hakukosea, kwan vaz lang linanifaaa mm mwenye naloHizo unavaa popote mkuu hata kwenye harusi kama siyo mshehereshaji.
Huyo jamaa labda alikuwa flower boy kwenye harusi au "densa".
ni xaw, na nmekuelew...Dogo acha tabia ya kuweka picha hapa siyo FB. Ipo siku zitakupa kiki au zitakuponza.
Sent using Jamii Forums mobile app