Mimi na mapenzi tena basi

Nilianza mwaka nikiwa na machungu mengi na matatizo mengi katika mahusiano ya kimapenzi upande wangu.
Nilimuomba Mungu sana aweze kunipitisha katika hali hiyo ngumu na amejibu maombi yangu.Moyo wangu ni mweupe na nimesahau yote.All i wanna do is move on.I know that i dont want to be alone forever,but i have gotten to the point i have realised its better to be alone than being with a wrong person!
I love u all friends,

Pole mrembo, so many people are going through similar predicaments, but I have good news for you that there is a better way, you dont have to go through this short life cheating and being cheated, hurting and being hurt etc. you can terminate all pains and start living out your life happily in all its fullness, kama ukipenda kujua jinsi gani NIPM. Once again pole sana.
 
Pole mrembo, so many people are going through similar predicaments, but I have good news for you that there is a better way, you dont have to go through this short life cheating and being cheated, hurting and being hurt etc. you can terminate all pains and start living out your life happily in all its fullness, kama ukipenda kujua jinsi gani NIPM. Once again pole sana.

thanx,u can just PM to explain.
 
Nilianza mwaka nikiwa na machungu mengi na matatizo mengi katika mahusiano ya kimapenzi upande wangu.
Nilimuomba Mungu sana aweze kunipitisha katika hali hiyo ngumu na amejibu maombi yangu.Moyo wangu ni mweupe na nimesahau yote.All i wanna do is move on.I know that i dont want to be alone forever,but i have gotten to the point i have realised its better to be alone than being with a wrong person!
I love u all friends,

We me au ke?
 
Nilianza mwaka nikiwa na machungu mengi na matatizo mengi katika mahusiano ya kimapenzi upande wangu.
Nilimuomba Mungu sana aweze kunipitisha katika hali hiyo ngumu na amejibu maombi yangu.Moyo wangu ni mweupe na nimesahau yote.All i wanna do is move on.I know that i dont want to be alone forever,but i have gotten to the point i have realised its better to be alone than being with a wrong person!
I love u all friends,

Shost nafuata nyayo zako na mie.
 
Nilianza mwaka nikiwa na machungu mengi na matatizo mengi katika mahusiano ya kimapenzi upande wangu.
Nilimuomba Mungu sana aweze kunipitisha katika hali hiyo ngumu na amejibu maombi yangu.Moyo wangu ni mweupe na nimesahau yote.All i wanna do is move on.I know that i dont want to be alone forever,but i have gotten to the point i have realised its better to be alone than being with a wrong person!
I love u all friends,

pole sana na ukirudia tena utakutana na hali ngumu kuliko ya mwanzo..! subiri kwanza mpaka Mungu atakapo kubali..!
 
pole sana na ukirudia tena utakutana na hali ngumu kuliko ya mwanzo..! subiri kwanza mpaka Mungu atakapo kubali..!

nimeamua kutulia,am a single lady and i believe it will stay that way for a very long time.
 
Back
Top Bottom