ATUGLORY
Senior Member
- Mar 16, 2011
- 166
- 27
Nilianza mwaka nikiwa na machungu mengi na matatizo mengi katika mahusiano ya kimapenzi upande wangu.
Nilimuomba Mungu sana aweze kunipitisha katika hali hiyo ngumu na amejibu maombi yangu.Moyo wangu ni mweupe na nimesahau yote.All i wanna do is move on.I know that i dont want to be alone forever,but i have gotten to the point i have realised its better to be alone than being with a wrong person!
I love u all friends,
Pole mrembo, so many people are going through similar predicaments, but I have good news for you that there is a better way, you dont have to go through this short life cheating and being cheated, hurting and being hurt etc. you can terminate all pains and start living out your life happily in all its fullness, kama ukipenda kujua jinsi gani NIPM. Once again pole sana.