hivi south maisha rahisi eeh? maana kashindwa bongo kakimbilia southWakumuoa nani bushoke?asubiri sana yeye mwenyewe anapenda kulelewa na wanawake wenye pesa Zao , wewe mwenzangu na mm karubandika utaishia kusuguliwa tu, huyo bushoke kama huna pesa msahahu, maana kashalelewa sana na mijimama uko Yombo sema umalaya wake umemponza kaachwa, alipangishiwa hadi nyumba na gari alipewa yeye kujifanya Kidume akawa anafunua watu skirt ovyo ika mcost kabwagwa maisha yakamshinda kakimbilia south.
Kaenda kwa baba ake mzee rutahivi south maisha rahisi eeh? maana kashindwa bongo kakimbilia south
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmmmmmmhhhhhhh Gridi ya Tanesco anataka kuvuta Msela Jela Bushoke?
Duh!!!mh huyu mwanamke wa hovyo tu bange na kukazwa kama bata kumemchakaza
Eti great depression..anguko la kiuchumi na kiusaniiMademu walikuwa wanamzimikia kishenzi enzi zile jamaa alikuwa handsome vbaya, ingawa halikuwa hajui kuvaa, basi wanawake wenye pesa zao wakawa wanamtunza, halaf nasikia jamaa kwenye mambo yetu ni Noma, inasemekana ana mguu wa mtoto, basi bwana kama hujuavyo chenye mwanzo hakikosi kuwa na mwisho, ujio wengi wa mashorobaro mjini ukampoteza hakaw hana soko tena, hence great depression occurred.