Desire Dizaya
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,476
- 11,673
- Thread starter
-
- #81
ndo yule alosema asilimia flani ya wanaume wanabambikiwa watoto or baba j?Dah! Pole sana. Itabidi tumuone mkemia wa Magogoni atupige lecture kuhusu chemistry ya malav davi!
Njoo kwangu baby girlmapenzi yana wenyewe jamani!!
mi nanawa mikono [emoji119]
tangu niyajue furaha ni 40% wenge na huzuni 60%
mda mwingine yananiharibia status yangu kwa watu wangu wa karibu...nakuwa na hasira.kila mtu namjibu kwa ukali.
chakula nakiona hakina ladha nkila nakuwa kama nataka kukitapika.usiku nashindwa lala vizuri.nakonda
sijui wenzangu mnahimili vipi?
niko very royal...one man chick...michepuko sijawahi but ananizingua
najitahidi kuwa mwema,kuspend quality time...hata kwa simu...
nilimkubalia ye msela tu ndo anaanza tuyajenge tufike mbali..kwa juhudi na mungu akijalia.nkawakatalia waliokwisha settle down na minoti yao sababu yako..
but we msela unazingua..unazingua vibaya mno
we unanitemea shit thn unanipotezea..mimi nakufariji kwa matatizo unayopitia unadai nakupigia kelele..
mi nkitembea mtaani tu muuza duka ananililia..muuza mkaa anachombeza.muuza bucha nae hayupo nyuma.
..muuza genge kila nkifika anakonyeza mfululizo...vibanda vya mpesa ndo wanachukua bila kujua namba na kusumbua....msugua kucha ananibembeleza niwe wake..eti tangu aanze hiyo kaz katengeneza kucha wadada kwa mamia ila mimi tu ndo kanipenda..nkipanda daladala makonda si tamdika si mnaz mmoja si tegeta wakinipa risiti wanajibanza wanaomba namba..kila mtaa ntaoingia mi nageukiwa..kila mgeni kijana ataekuja home ananitaka
we kwanini unaninyanyasa mwana wa mwenzio? kisa kukupenda?
wakaka mkipendwa pendekeni basi..au mnatakaje??
[emoji119] [emoji119] nimewanawaYaan hawa viumbe wanachosha Kwa kweli
sawa[emoji4]Endelea na TZ ya v-wonder mapenzi yaache tu.
asante ndugu..ntazingatiaUsimtegemee binadamu kwa asilimia mia utaumia.
Kutokana na ubinadamu alionao binadamu mda wowote anaweza kufanya jambo la kuudhi.
Ukimpa binadamu biashara yako akuendeshee, mfano biashara ya usafirishaji, ukampa Noa yako awe dereva hapo kesi zinaanza, kila siku bili ya hasara unaletewa mara pancha mara trafiki ni visingizio tele vyauwongo.
Hivyo sawasawa
na mapenzi, sio wanawake tu mnaoumia pia na wanaume.
Unamsomesha mchumba wako kwa mapenzi ya kumwinua kiuchumi akimaliza chuo kikuu, anakuacha solemba, hata japo kukushukuru tu hataki, na anabadili namba ya simu ili asikusikie kabisa.
Hakuna garantii ya mapenzi, nyie mnaopenda msipende kupita kiasi, na mjue kuwa wakati wowote penzi linaweza kuisha hivyo kila wakati muwe mmejiandaa kuachwa.
Hofu hii isiwakataze kupenda
Kwani yapo mapenzi yanayodumu na ni wajibu wako kuyadumisha.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] nimejikuta nacheka Kwa nguvu"hayo mapenth bathi,
"umeyavulia shati, kupendwa ni ajira,
"Na wewe huna cheeti,
okKwa ujinga huo ulioandika huyo jamaa humfai...
Baba Jeska...ndo yule alosema asilimia flani ya wanaume wanabambikiwa watoto or baba j?
ok.Umemkubali msela kwa maneno yako...
Ukimfariji kwa matatizo yake anasema unampigia kelele... "hahahaha" msela ataendelea kuwa msela...
Alafu hao watu wanaokufuata fuata... Muuza duka, mkaa, bucha, genge, mpesa, wasugua kucha, makondakta na wageni... Hizo type zote hawana tofauti na msela...
Sipati picha utakuwa mwanamkr wa aina gani aiseee.. Pole sana... Upgrade yourself...
Cc: mahondaw
namuogopa huyo.Baba Jeska...
Baba Jeska hana noumer...namuogopa huyo.
au hamaindi kutoa huo ushauri?
nyie si wachagua nazi umepata koroma teh teh [HASHTAG]#Team[/HASHTAG] viba100 nyuzi kama hizi ni furaha yetumapenzi yana wenyewe jamani!!
mi nanawa mikono [emoji119]
tangu niyajue furaha ni 40% wenge na huzuni 60%
mda mwingine yananiharibia status yangu kwa watu wangu wa karibu...nakuwa na hasira.kila mtu namjibu kwa ukali.
chakula nakiona hakina ladha nkila nakuwa kama nataka kukitapika.usiku nashindwa lala vizuri.nakonda
sijui wenzangu mnahimili vipi?
niko very royal...one man chick...michepuko sijawahi but ananizingua
najitahidi kuwa mwema,kuspend quality time...hata kwa simu...
nilimkubalia ye msela tu ndo anaanza tuyajenge tufike mbali..kwa juhudi na mungu akijalia.nkawakatalia waliokwisha settle down na minoti yao sababu yako..
but we msela unazingua..unazingua vibaya mno
we unanitemea shit thn unanipotezea..mimi nakufariji kwa matatizo unayopitia unadai nakupigia kelele..
mi nkitembea mtaani tu muuza duka ananililia..muuza mkaa anachombeza.muuza bucha nae hayupo nyuma.
..muuza genge kila nkifika anakonyeza mfululizo...vibanda vya mpesa ndo wanachukua bila kujua namba na kusumbua....msugua kucha ananibembeleza niwe wake..eti tangu aanze hiyo kaz katengeneza kucha wadada kwa mamia ila mimi tu ndo kanipenda..nkipanda daladala makonda si tamdika si mnaz mmoja si tegeta wakinipa risiti wanajibanza wanaomba namba..kila mtaa ntaoingia mi nageukiwa..kila mgeni kijana ataekuja home ananitaka
we kwanini unaninyanyasa mwana wa mwenzio? kisa kukupenda?
wakaka mkipendwa pendekeni basi..au mnatakaje??
wachagua nazi haoUmenifurahisha uliposema ''wakaka mkipendwa pendekeni basi...au mnatakaje'''