Mimi mwanachuo

Mimi mwanachuo

Niko mwaka 1, nilitaka, nursing au Radiotherapy. Mkuu
Sema shida tena ipo kwenye admission competition daa
Upo chuo Gani mkuu@? NA kwann unataka nursing na Radiotherapy!?

Nakushauri kama kweli una nia ya kusoma Nursing omba St john haraka mkuu
 
Nilikuwa najua ukisoma course ya afya umetoboa maisha. Itoshe kusema maisha yana mambo mengi sana.

Sema kama unataka kubadili course. We badili usije ukajilaumu mbele ya safari
 
Sikiliza moyo wako vile unasema, achana na maneno yakusikia unaweza ukawa mwalimu bora duniani vilevile unaweza kuwa daktari bora kama ukisikiliza moyo wako .. hakuna kibaya wala kizuri vyote viko sawa
 
Maisha yamekuwa magumu mno ndio maana ufaulu umekuwa mkubwa na nafasi za kusoma zimekuwa nyingi
Kwa kuwa wameelewa kwa sasa sio kama zamani kupata mafanikio ya maisha kwa kutumia elimu kwa sasa ni changamoto..
Jamani pambaneni na ujasiria mali.....
 
Maisha yamekuwa magumu mno ndio maana ufaulu umekuwa mkubwa na nafasi za kusoma zimekuwa nyingi
Kwa kuwa wameelewa kwa sasa sio kama zamani kupata mafanikio ya maisha kwa kutumia elimu kwa sasa ni changamoto..
Jamani pambaneni na ujasiria mali.....
Watu wanacheza rafu tu refarii kipofu
 
Usisome hiyo kitu mkuu,utakufa masikini. Ondoka chuoni mara moja au ukimaliza tu uelekee VETA moja kwa moja! Hii ni code kaka yako nakupa! Printi huu ujumbe na uweke ukutani usisahau
 
Back
Top Bottom