vampire_hunter007
JF-Expert Member
- Jul 25, 2015
- 1,034
- 2,638
Dalili unazoonesha sio nzuri....Soon utavunjika moyo uamue kupata starehe kwa kuliwa wewe sasa....Mnaanzaga hivi hivi
Habari zenu ladies and gentlemen,
Mimi ni kijana wa miaka 24 ila tangu nibalehe sijawahi kutongoza na huwa naogopa sana wasichana.
Na ikitokea nimempenda msichana nikitaka kumfuata tu kumtongoza jogoo anawika halafu nakuwa mwoga sana.
Habari zenu ladies and gentlemen,
Mimi ni kijana wa miaka 24 ila tangu nibalehe sijawahi kutongoza na huwa naogopa sana wasichana.
Na ikitokea nimempenda msichana nikitaka kumfuata tu kumtongoza jogoo anawika halafu nakuwa mwoga sana.
Hahahahahaha hataree Sana kuna mahoucgirl wagumu aiseeeePole sana... anzia kujifunza kwa ma house girl...
Ukikomaa bila hela utakuwa unapiga rejected ambao wenye hela wamewatema!Demu mkali hasa Dar bila hela mtashindwana tu!Jiamin wewe...mwanaume kutumia hela ni ishsra ya udhaifu.....komaa kavu kavu kama wenzio tunaojiamin
Haaaahaaaaa dah mkuu umenivunja mbavu aiseee,Mkuu andika tu barua, sio lazima wote mtongoze kwa style moja
mabamedi piaPole sana... anzia kujifunza kwa ma house girl...
Housegirl njoo huku, kuna mtu ana utani wa visu na wewe!Housegirl mimba nje nje tumia condom
Mtume mshenga akutongozeeHabari zenu ladies and gentlemen,
Mimi ni kijana wa miaka 24 ila tangu nibalehe sijawahi kutongoza na huwa naogopa sana wasichana.
Na ikitokea nimempenda msichana nikitaka kumfuata tu kumtongoza jogoo anawika halafu nakuwa mwoga sana.
Ma bamedi atawaweza wapi.. wana mbwembwe wale..kwa
mabamedi pia
Hii imekua fashen siotafuta hela tu utaona wanakutongoza.....