Usedcountrynewpipo
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 3,636
- 2,731
Fanya hivi... Andika barua alafu uichore makopa kopa... Msichana atakuelewa tu...
Mkuu mimi sihitaji kufanya biashara ya ngono nachotaka ni kujua swaga za kuchimbia madini hayo mapenzi niya kikahaba.Huo umri ulionao ndio watu wengi waliofery maisha walikosea wakiwa na umri huo, invest akili yako shuleni hayo mengine yatakuja yenyewe, ni uboya kushinda mmu halafu usijue swaga za kuongea na mademu, au unazo pesa nikuitie demu kuu la makuwadi muoneshe demu yoyote unayemtaka ukimpa malipo yake basi umelamba mzigo.
Za kale ni dhahabu.....
Silali nakuota wewe, nikinywa maji nakuona kwenye glass, samaki bila maji hawezi kuishi mimi bila wewe siwezi kuishi, nimekuzimia nna passion kwako... Asipokuelewa achana nae huyo dem atakua hana maana
Teh teh inaweza ikafanya kazi ,ila risk assessment mimi sijafanya itabidi aliye omba kufundishwa kutongoza afanye mwenyewe ,akikutana na bi dada yupo kwenye mambo yake ya kujilipa mshahara mwisho wa mwezi ,akitolewa meno atajua mwenyeweHahahaha...... You can't be serious
Teh teh inaweza ikafanya kazi ,ila risk assessment mimi sijafanya itabidi aliye omba kufundishwa kutongoza afanye mwenyewe ,akikutana na bi dada yupo kwenye mambo yake ya kujilipa mshahara mwisho wa mwezi ,akitolewa meno atajua mwenyewe
Inategemea na mazingira na pia uwezo wako wa kumsoma mtu unayetaka kumtongoza the moment umefanya naye eye contact ,huwezijua mwanamke anaweza akaangua kicheko ,kufanikiwa kumchekesha ndio ikafungua njia ya conversation badala ya mwanamke kuwa kwenye tension ya kukutana na stranger anakua comfortableSimshauri afanye hivyo aisee 😀😀😀
Inategemea na mazingira na pia uwezo wako wa kumsoma mtu unayetaka kumtongoza the moment umefanya naye eye contact ,huwezijua mwanamke anaweza akaangua kicheko ,kufanikiwa kumchekesha ndio ikafungua njia ya conversation badala ya mwanamke kuwa kwenye tension ya kukutana na stranger anakua comfortable
Duh ina maana wewe utakuwa unaongea nae halafu mimi nafanyaje humo gheto?Njoo gheto na huyo demu unayempenda nikufundishe kwa vitendo mkuu
Kama huna hela Madem wazuri wote utaishia kuwaita shemeji
Kama huna hela Madem wazuri wote utaishia kuwaita shemeji
Hahahah true saidWabongo bana si coca cola washarahisisha tongozo au?
Habari zenu ladies and gentlemen mimi ni kijana wa miaka 24 ila tangu nibalehe sijawahi kutongoza na huwa naogopa sana wasichana ,
Na ikitokea nimempenda msichana nikitaka kumfuata tu kumtongoza jogoo anawika halafu nakuwa mwoga sana.
Kutongoza kwa maneno ni kizamani sana ndugu yanguHabari zenu ladies and gentlemen mimi ni kijana wa miaka 24 ila tangu nibalehe sijawahi kutongoza na huwa naogopa sana wasichana ,
Na ikitokea nimempenda msichana nikitaka kumfuata tu kumtongoza jogoo anawika halafu nakuwa mwoga sana.
Jiamin wewe...mwanaume kutumia hela ni ishsra ya udhaifu.....komaa kavu kavu kama wenzio tunaojiaminKutongoza kwa maneno ni kizamani sana ndugu yangu
Tafuta hela na ukizipata hawa utawatafuna hadi wengine uwakimbie