Tatizo anaelaani naye ni mlaaniwa, mimea inakucheka tu.Hii miimea ya kibongo ukiulaani ndio kwanza inastawi bila hata mbolea inayosifiwa ikikosa maji siku1 lishakauka
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Hata wanyama pia! Mfano Ukiona nyoka, panya ukisema nyokaa, panya huyo anakimbia
Ila ukisema mdudu huyo na yeye anasimama kumtafuta huyo mdudu.
Siku jaribu mkuu😂
Mimi mwenyewe msomi haswaaa, ndio maana nahakikisha hakuna kinyamkera asiye na elimu anajiita MSOMI.Mbona una hasira sana na wasomi. Shida ni nini? Hupaswi wachukia wasomi.
Hakuna lolote.BICHWA KOMWE kama unamuonea wivu mtaalamu wetu nenda nawe ukasome
Bado unasimamia kucha?nitajaribu
Hiyo muhimu master 😁😁Bado unasimamia kucha?
Labda msomi wa magazeti na page za udaku. Uandishi wako ni kama mtu anayesikiliza sana taarabu na singeli.Mimi mwenyewe msomi haswaaa, ndio maana nahakikisha hakuna kinyamkera asiye na elimu anajiita MSOMI.
Wewe mlevi upoNdio inayo
Ntakutafuta 😂😂Hiyo muhimu master 😁😁
Thubutuu!! Niko njema haswaaaa.Labda msomi wa magazeti na page za udaku. Uandishi wako ni kama mtu anayesikiliza sana taarabu na singeli.
Cha muhimu uwe wa kike tu😋Ntakutafuta 😂😂
Kwa nini unawachukia wasomi? Kwa nini na wewe usipate Elimu ili uwe unaandika kama msomi?Thubutuu!! Niko njema haswaaaa.
Ninajiamini kielimu kuliko kitu chochote, ndio maana nawakosoa nyie vinyamkera bila hofu wala mbambamba.
Mpaka mnyooke.
🤣🤣🤣🤣🤣Kwa nini unawachukia wasomi? Kwa nini na wewe usipate Elimu ili uwe unaandika kama msomi?
Leo mmeamua kutumia lugha gani hizi zisizoeleweka?Ni kweli Kuna uwa nikiwa na mkwa hustawi kweli kweli. Ila mkwanja ukikata hudumaa pamoja na kulimwgilia maji na mbolea.
Umenikumbusha mbali🤣🤣🤣mfalme ana masikio marefu kama ya punda chanzo n mti wallahi una hoja
Tafiti za Kisayansi hazijafika ukingoni. Huenda huko mbeleni Sayansi ikabaini ambayo hayakuwa yakijulikana.Hazina Scientific proof.Soma comment yangu hapo juu.
Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
Tafiti za Kisayansi hazijafika ukingoni. Huenda huko mbeleni Sayansi ikabaini ambayo hayakuwa yakijulikana.Hazina Scientific proof.Soma comment yangu hapo juu.
Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app