Mimea yote hii iliumbwa na Mungu ili iwanifaishe wanadamu.
Lakini shetani ameiba uumbaji wa mungu na kutufunga akili..
Shetani hakuumba chochote..
Huu ni uumbaji wa Mungu
MziziMkavu Kaka nina ombi moja kwako huko uliko fanya uwezavyo tuupate huu mmea utatusaidia sana sanaView attachment 312981 mandrake-tree-of-knowledge.html