Makambuya
Member
- Dec 6, 2011
- 45
- 3
Wadau mimi nina mpenzi wangu ambaye nimekuwa nae kwa muda wa miaka miwili sasa, ila tupo mbalimbali yeye yupo Dar mimi nipo Dodoma, nimekuwa nifanya kila linawezekana kumwonesha kuwa nampenda ikiwa ni pamoja nakufuata dar mara kwa mara. mwezi August nilikuwa nae kwa muda wa siku3 nakudate nae bila kinga ilipofika Septemba akaniambia hajaziona siku zake nikamwambia akapime ndipo aliponiletea matokeo yakwamba ana mimba kwa mara ya kwanza sikutaka kuamini haraka japo sikuonesha hali yakukataa baadae nikakubaliana nae nakuonesha furaha yangu kwa kuwa baba mtarajiwa ila nikamwambia anitumie vipimo akawa amekubali siku yaku2ma ikafika akaniambia saa kumi niende ofisi za shabby nikachu chaaja muda ulipokaribia wakwenda kuchukua hvyo vipimo akanipigia simu nakuniambia alikuwa nanidanganya tu kwa sababu eti alikuwa anataka kujua kama nampenda. je huyu ananifaa? wadau nipeni ushauri maana toka ameniambia hivyo sina hata hamu nae.