Mimba ya uongo...je anastahili?

Mimba ya uongo...je anastahili?

haaa! mbona la kwaida tu kaka sasa tatizo liko wap?huo ni utam na mautani ya mapenzi tu,
 
labda hajiamini ndio mana akataka kuhakikisha usije ukamtupa au ajitayarishe akiwa kwenye hali hiyo,chamsingi ebu tumia kinga kwanza na kwaupande wangu mie naona bora kakuamshaa hutocheza mbali na kinga kwa sababu hata kama ingekua ya mtu mwengine ungepewa wewe....
 
ukizoea raha kubali na matokeo yake.(in every action there is equal and or opposite reaction)expect to reap what you have sown.
 
Back
Top Bottom