Brine
JF-Expert Member
- Oct 28, 2011
- 375
- 69
Sikuwa na tatizo lolote nilikuwa mzima tu na sijawahi kuumwa hata siku moja wiki zote 40 na nilijifungua kawaida tunashukuru sana ulikuwa na tatizo gani nawe mwenzangu
Sikuwa na tatizo lolote nilikuwa mzima tu na sijawahi kuumwa hata siku moja wiki zote 40 na nilijifungua kawaida tunashukuru sana ulikuwa na tatizo gani nawe mwenzangu
aSANTE NGOJA NISUBIRI NIMEFANYA MAZOEZI YA KUTEMBEA HADI KM 4 UTRASOUND WALINIAMBIA KABLA YA 24 DEC 2O13 NITAKUWA TAYARISikuwa na tatizo lolote nilikuwa mzima tu na sijawahi kuumwa hata siku moja wiki zote 40 na nilijifungua kawaida tu
Kuna mtu amewahi kukaa na mimba miaka 5.
zoezi LOLOTE AU CHAKULA CHA KUNIFANYA NIPATE UCHUNGU TAREHE ZA MAKADIRIO NI 28DECEMBA 2O13 HADI 4JANUARI 2O14 MSAADA WA KWELI ACHA MATUSI
Je una uhakika na umri wa ujauzito wako? Kama sivyo kapime ultra sound