Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,498
- 86,013
Mjasiramali, mimi naonelea badala ya kusubiri wapate mimba ili tuwape adhabu tungewajengea mazingira mazuri na kuwapa elimu itakayowasaidia, kuongea nao kwani nina mifano ya wale ambao niliongea nao walikiri kubadilika na kutumia akili, si kwamba wameacha kufanya bali wanafanya kwa umakini! pili wazazi wasimame kwenye zamu zao, wasiwaachie walimu wawalelee watoto wao peke yao, .mwisho ni jamii nzima ipate elimu sahihi na sio kuwaadhibu tu! asante Mpwa