Suphian Juma
Senior Member
- Apr 2, 2019
- 133
- 546
MIMBA KUANZA KUPANDIKIZWA TANZANIA
Hospitali yetu ya Muhimbili kuanza KUPANDIKIZA MIMBA mwishoni mwa mwaka huu wa 2023, wenye matatizo ya kuzaa wakae chonjo. Maradhi tuliyoona kwa karne hayatibiki Tanzania hadi twende India Rais Dkt Samia kwa mahaba yake tele kwa raia wake ameleta tiba nchini. Huu Upendo humithiliki, 2025 APITE BILA KUPINGWA.
Hospitali yetu ya Muhimbili kuanza KUPANDIKIZA MIMBA mwishoni mwa mwaka huu wa 2023, wenye matatizo ya kuzaa wakae chonjo. Maradhi tuliyoona kwa karne hayatibiki Tanzania hadi twende India Rais Dkt Samia kwa mahaba yake tele kwa raia wake ameleta tiba nchini. Huu Upendo humithiliki, 2025 APITE BILA KUPINGWA.