Mimba isiyotarajiwa

Nilisetiwa na demu niende kumla kumbe alikua na Mimba, Baada ya week ananiambia ana mimba, Nikatunza Banaa..
Kuja kushtuka kajifungua na miezi saba, sikufamoyo nikasema atakua njiti, na yeye mwenyewe akaniambia, uzuri njiti wanajulikana, siku ya pili naenda kumuona mtoto njemba imeshiba balaa, kucheki kadi ana kilo 5 kasoro...khaaa

Sikukaa hata chini, Nikamkataa pale palee....
Kuanzia pale Niliapa kutoendekeza nyege, kuna ulazima wa kula mzigo, Basi lazima nikupime..
Baada ya kama mwaka hivi ndio linanitumia msg ya kuomba msamaha.

Nimeamini wanaume wengi sana wanalea watoto sio wao,
Na imagine kama tungepishana week au siku si ningelizwaa??
Hongera mkuu kwa kuepuka mtego wa LI SINGO MAZA.

Single Maza ni laana.
 
Wanajamvi habarini na kheri ya mwaka mpya.

Bila kupoteza mda, mwanzoni mwa mwaka jana nilikutana na binti mmoja age ya 21 had 23 hivi. Katika harakati za kazi yule binti akaonesha kunielewa sana, kama tunavojijua baadhi ya wanaume na udhaifu mwingi, kondoo ikijileta tu hua hatujiulizi mara mbili basi nikapita nae.

Kama baada ya mwez akanambia ana ujauzito wangu. Kumwambia atoe nikaogopa basi nikamuacha hadi last week (december) akajifungua.

Binti anataka nimuoe kiukweli mimi sikua na mpango nae hata kidogo. Na toka kipindi najuana nae nilimwambia kwel kua mi sina future nae coz nko na mahusiano mengine, but nilikua namsapoti kwa kila stage hadi anajifungua.

Changamoto ni kwamba mi naishi Dodoma kikazi na mchumba wangu Ambae niko serious nae yuko Dar.

Naombeni experience kwenye hii issue
Hahahah watoto wetu wa kike wanatabu sana saivii
 
Kila siku mnatukana single mama hapa ndani. Ukweli single mama hawaibuki tu from no where, ni zao la wanaume wabinafsi na makatili kama wewe.
Unakwenda kuharibu future ya binti wa watu. Kaa chini imagine huyo binti angekuwa mwanao au Dada yako, ni maumivu gani ungepitia kuona anatendewa haya.
Hakuna wa kukulazimisha kumuoa huyo binti, ila kaa ukijua, na lala ukitambua umeharibu future yake.
USHAURI
1. Wazazi, tutumie muda wetu kuongea na mabint zetu kuwaeleza ukweli juu ya madhara ya kubeba mimba kabla ya ndoa.
2. Mabinti, jitambueni. Vishawishi vipo, ila tumieni akili.
3. Wanaume, kama hauna future na mtoto wa mtu usimuharibie maisha yake. Karma ipo.
*nikiwa kama mama niliye na binti, nimeumia kama huyu binti ni wangu.

1. Wazazi wanawajibika kwa binti akiwa chini ya miaka 18.
Huyo binti wa mtoa mada ni mtu mzima, ni zaidi ya miaka 18. Hata kama asingekuwa amefundishwa na wazazi yeye mwenyewe kama anaakili angejiongeza.

2. Mabinti wengi hawatumii Akili.

3. Mtu alishamuambia hana mpango naye(future naye) iweje useme amemharibia future yake?
Anayeharibiwa future ni mtoto mdogo au mtu aliyedanganywa. Huyu hayupo kati ya hayo.

Unaumia kwa Upumbavu wa mtu mwingine. Hicho ni kifo cha kujitakia
 
Mpendwa, hakuna lililowai nikuta na siombei yanikute. Nimelelewa katika maadili, hata mtoto wangu wa kwanza nimezaa nikiwa katika ndoa halali nikiwa na miaka 28. Nina binti wà miaka 7, nitapambana na ninamuombea kwa Mungu yasimkute. Sikukuandikia kukukwaza ila nilikutaka ukae chini utafakari maana nakuona ili suala umechukulia kirahisi bila kuangalia madhara. Sikukushauri kwa kuwa unao msimamo kuwa una mchumba tayari, so nikatoa ushaur kwa wote ili tujifunze kupitia kesi yako.
Kwa kuwa umetaka maoni yangu nitakupa ushauri.

1. Usimuoe huyo bint kama humpendi. Usijilazimishe wala usilazimishwe. Ni heri akabaki na maumivu haya, kuliko kuingia kwenye ndoa ambapo hapendwi. Hamtakaa kwa amani na madhara yake ni makubwa zaidi

2.muoe huyo binti. Jilazimishe kwa kujifunza kumpenda. Wapo waliochaguliwa wenza na wazazi, sio kuwa walipendana, ila walijifunza kupendana, kujaliana na kuheshimiana. Na wamedumu.

3. Ukishindwa kumuoa, mwezeshe, ili asiwe tegemezi kwako wala wazazi. Wazazi wake washamaliza kazi ya kulea, so mzigo wa kulea ubaki kwenu. Hudumia mwanao na mpende, na kamwe usimfiche kwa ndugu wala mkeo ajae.

Huo ndio ushauri wangu. Na msimamo wangu utabaki uleule.

*tunajifunza kupitia makosa ya wengine
Asante, ushauri namba tatu nimeufanyia kazi, nimemsapoti toka kipindi cha mimba had anajifungua, kazini nikamtafutia mdhamini ko anaendelea kazi ya kupata shilling kwa mwezi.
Ntajaribu kuzingatia ushauri namba 1 na 2. Ntaona pale ntafika.

Lakini natamani kuongezeke mabalozi wa kukemea hii kitu, elimu itolewe kwa vijana wote wa kike na kiume, especially wa kike manake wao ndo wako na maamuzi ya kupata au kutopata mimba.
Manake kuna some scenarios binti ndo anaingia kwenye maisha ya kijana na sio kijana anaingia kwenye maisha ya binti. Mwisho lawama anapewa kijana.

Though sijitetei, vile I had to play my part kuhakikisha I stay safe either.
 
Huyo binti aliekuzalia kwa namna yoyote Ile muoe ,
Huyo unaesema ndo upo nae serious Wala sio wakwako ,,,

Ukipuuzia utajutia siku sio nyingi

Kaza moyo dogo

Acha kumdanganya na kumtishia mwenzako.
Mtu anaoa anayempenda. Lakini kulala unaweza kulala na yoyote.
Kama hampendi asimuoe
 
Mpendwa, siku comment kukulazimisha wewe au yeyote yule akubali single mama. Ndio maana katika ushauri wangu hata mabint nimewashauri kwa kutambua hata huyo binti ana kosa. Kwa maelezo kijana anafanya kazi so kiumri anaweza kuwa mkubwa zaidi ya huyo binti. Alitakiwa kumuongoza.

Utakapokuwa mzazi, ombea kizazi chako kisipitie majaribu kama haya.
So take it or live it. Sikuandika kukufurahisha au kukukwaza.

Ukizaa mtoto akiwa mkaidi na ulimfundisha yampasayo hayo mengine ni juu yake.
 
Kila siku mnatukana single mama hapa ndani. Ukweli single mama hawaibuki tu from no where, ni zao la wanaume wabinafsi na makatili kama wewe.
Unakwenda kuharibu future ya binti wa watu. Kaa chini imagine huyo binti angekuwa mwanao au Dada yako, ni maumivu gani ungepitia kuona anatendewa haya.
Hakuna wa kukulazimisha kumuoa huyo binti, ila kaa ukijua, na lala ukitambua umeharibu future yake.
USHAURI
1. Wazazi, tutumie muda wetu kuongea na mabint zetu kuwaeleza ukweli juu ya madhara ya kubeba mimba kabla ya ndoa.
2. Mabinti, jitambueni. Vishawishi vipo, ila tumieni akili.
3. Wanaume, kama hauna future na mtoto wa mtu usimuharibie maisha yake. Karma ipo.
*nikiwa kama mama niliye na binti, nimeumia kama huyu binti ni wangu.
Wazazi muongee na mabinti kuhusu njia za kuzuia mimba na madhara ya ngono
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom