antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 44,687
- 120,316
Aisee..Kama hutaki kupata mimba, kwanini usipime kwanza kabla ya kusex! Vipimo vipo pharmacy bei che, unapima kama ni danger days, mnatumia condom. Ovulation test
Acheni kutuangusha Vipimo hata vya gono vipo. Huu si wakati wa kulia lia.
It's news to me!
Ndo kwanza nasikia kama kuna hivi vipimo pharmacy