Baadhi ya dalili za nje zinazoonyesha uwezekano wa kuwa na mimba ni pamoja na:
- maziwa kujaa na kuwa magumu kidogo.
- kunenepa ghafla kutokana na kuongezeka vikoleza mimba mwilini.
- mabadiliko kitabia ya ghafla yasiyozoeleka.
basi sawa ngoja nianze kujichunguza
kipimo cha kawaida kile kinaanza kuonyesha kuanzia siku ya 11 ya ujauzito lkn mwanamke akipitiliza siku 4-5 kutoka siku alotakiwa kuona siku zake bac mimba huanza kuhisiwa kwanza kabla ya matatizo mengn..
Asante sana Mkuu sasa kwa case yangu hapo ni siku Nane tu vip kuna ukweli amenimebambikiwa mkuu