Millya Amedisturb Political Equillibrium Tanzania

Millya Amedisturb Political Equillibrium Tanzania

Kintiku

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2011
Posts
617
Reaction score
322
Naamini CDM ina viongozi makini kumhandle Millya akianza mapepe yake. Kama wameweza kum contain ZK na SM nini Millya bwana.....


Viongozi na wanachama wa CDM waliokuwa wanatumika na EL wana hofu sana katika kipindi hiki cha mpito maana hawajui kama Millya ataamua kutoa siri jinsi walivyokuwa wanapanga kuhujumu CDM kuanzia uchaguzi wa Arusha mjini, kujiuzulu madiwani hadi uchaguzi wa Arumeru Mashariki

Usishangae viongozi wa CDM ambao walikuwa wanatoka kivyao kivyao na kutokuwa loyal kwa chama, sasa wakitoa kauli na matendo ya kuonyesha wako pamoja na chama saaaaaaaaaaaaaana..


Kambi ya Mwakyembe, SIta & CO wameshtushwa sana na hili tukio. Maana CDM ilikuwa ni ''fallback plan'' incase mambo yakienda hovyo CCM, sasa kijana katangulia, je mzee mwenyewe ataenda...mbona atakuwa amewawahi sana. Ina maana leo hata wakipigwa chini CCM wataenda CDM kukutana na Lowasa au Millya? ukizingatia CCJ haipo tena. Juzi kati Mwakyembe kasema atawatumikia wanakyela hata kama hatakuwa CCM- wapi zaidi ya CDM

Wapambe wa Lowasa waliokuwa wanaponda CDM kama hawana akili zao nao wanajiharishia- maana hawajui kama mzeee naye atatinga huko- watapeleka wapi sura zao

Kambi ya Nape & CO wao wana hofu jamaa akienda CDM na nguvu alizonanazo 2015 CCM haitoki... na wao watapeleka wapi sura zao, maana ni obvious hawataweza kwenda CDM amabko tayari EL na kijana wake watakuwa huko

Hongera Millya siasa ni kusoma nyakati na mazingira na kufanya maamuzi kulingana na hali ya wakati huo........CDM tambueni hamuwezi kuchukua nchi peke yenu lazima kuungana na watu ambao jana walikuwa wachawi lakini leo wameokoka. Ukifanya CBA, kuna faida nyingi kwa CDM kumpokea Millya kuliko kumtupa, the same applies kwa Lowasa.........


Typo...Equilibrium
 
Litakuwa kosa kubwa strategically kwa CDM kumchukua Lowassa. It will be the beginning of the end of the opposition in Tanzania kwa sababu itapelekea picha kwamba tunaongozwa zaidi na personal interests badala ya ideology na vision ya Tanzania tunayoitaka, na hatuna tofauti na CCM. Kwangu binafsi nitaacha kuiunga mkono Chadema.
 
Litakuwa kosa kubwa strategically kwa CDM kumchukua Lowassa. It will be the beginning of the end of the opposition in Tanzania kwa sababu itapelekea picha kwamba tunaongozwa zaidi na personal interests badala ya ideology na vision ya Tanzania tunayoitaka, na hatuna tofauti na CCM. Kwangu binafsi nitaacha kuiunga mkono Chadema.

Unajua wakati wa vita yetu na Uganda, kuna Kamanda alitoa ushauri kuwa mgambo, JKT na servicemen wapelekwe front line, makamanda wengine walipinga sana kuwa tutakuwa tunatafuta matatizo na kushindwa vita. Jamaa alijenga hoja kuwa wakati fulani ni vizuri kuwatanguliza mbele ili wawe chambo. CDM wanaweza kumtumia kama chambo, though nakubaliana pia na mtazamo wako.

Ila je kama Lowasa akiaamua kufunguka na kusema version yake kuhusu Richmond, na yale Mwakyembe aliyoyaficha naamini watu wengi watampa the benefit of the doubt Lowasa. Nakwambia CDM itakuwa imelamba dume...............Mwanahalisi wanajua hii siri majina ya awali yaliyosajiliwa BRELA kampuni ya Richmond, mbona walishawahi kuandika siku za nyuma ......anyway tusirudi nyuma.

Lengo la CDM ni kuibomoa CCM kama Lowasa anaweza kuiboa CCM kwa 70% halafu CDM ikaathirika kwa 30% sisi wajasiliamali tunasema hiyo inalipa
 
Lowassa hana nafasi Chadema hata akiungama hadharani
 
Kama Lowasa ameshindwa kuibomoa CCM from within ataweza akiwa CDM? Afanye hivyo akiwa huko then ukweli ukiwa wazi na watanzania wakaelewa aende CDM
 
Millya Amedisturb Political Equillibrium Tanzania
usiseme tanzania mkuu,
wataje hao hao wanaoelekea ICU.
 
Lowasa yuko kwenye list of shame iliyotolewa na CDM. Itakuwa ajabu kama CDM watamchukua EL...

Balozi wa nyumba 10 ni LULU kubwa CDM kuliko EL. Kama CDM inataka ku-prove its natural death, basi wampokee EL.
 
EL anataka kuwa mwanachama wa kawaida aijenge chadema na kulipa kisasi kwa magamba walio mnyanyasa sasa sijui atafanikiwa..................................................nawaza tu
 
Kama ikionekana ili tuchukue nchi hadi tumchukue Lowasa, Basi tunamchukua kama mwanachama wa Kawaida na tunauhakika tutamhandle vizuri tu maana tunao watu wa aina hiyo.

Viongozi wa CDM wakiona inafaa Lowasa kuja kuongeza nguvu mimi niko tayari, ila asitegemee chochote...
 
anataka kiti cha ubunge Arusha mjini, hana lolote
 
Siasa ni ngumu sana nani alijua Ruto atakuwa damu damu na Uhuru ilihali wana kesi ICC

KKU,
Uko sahihi mkuu hakuna ugomvi wa kudumu kwa Politicians, isipokuwa yapo maslahi ya Kudumu.... That's why Ruto and Uhuru are now friends!!!!!
 
Litakuwa kosa kubwa strategically kwa CDM kumchukua Lowassa. It will be the beginning of the end of the opposition in Tanzania kwa sababu itapelekea picha kwamba tunaongozwa zaidi na personal interests badala ya ideology na vision ya Tanzania tunayoitaka, na hatuna tofauti na CCM. Kwangu binafsi nitaacha kuiunga mkono Chadema.

Lowassa kujichanganya ktk kundi la CDM kitakuwa kioja cha mwaka kwani yeye kisiasa yupo uchi wa mnyama wakati wenzie kina Mbowe wamevaa nguo sasa sijui jamii itawaelewa vipi kina Slaa kuzunguka Tanzania wakimwaga na mwenzao aliye uchi kisiasa?
 
EL fisadi lakini alithubutu kufanya maendeleo,maji kahama,shule,udom hawa wengine mafisadi halafu hawaleti maendeleo
 
Back
Top Bottom