STK ONE
JF-Expert Member
- Dec 31, 2011
- 627
- 184
In Politics:
No permanent friends and enemies but permanent interests
Very true mkuu, but nashauri, hata kama Lowasa akiachia madaraka na kujiondoa ccm, but ni mapema sana kuhamia chadema naamini hata mwenyewe hawezi kufanya hivyo. Lakini na yeye ataaamua kumaliza zama za ccm katika siasa za Tz, anaweza kuweka kila kitu kilichotokea hadharani, kuhusu Richmond na kuhusu mengine yote ambayo yanamuhusu mkuu wa kaya...kwa kufanya hivyo tu, CDM wataonekana wapo right kwa kila ambacho kiliongelewa kuhusu ufisadi na yeye atakuwa safe side kwa kumuachia mwenyekiti tuhuma nzito...hilo tu linatupa ushindi asilimia zingine zaidi ya sabani....akibaki bila chama ataaminika zaidi kuliko kuhamia CHADEMA kwani ataonekana ni mroho wa madaraka....kitu ambacho kinaweza kuwa kweli kama atahama chama....akiacha siasa ataonekana wa maana zaidi....
TOGHETHER WE CAN BRING THE CHANGES WE NEED....YES WE CAN.....GOD BLESS CDM