Udochi
JF-Expert Member
- Jul 25, 2015
- 784
- 1,055
Habarini wakuu,
Kuna jirani yangu Unahitaji kuagiza Toyota starlet kutoka Japan,
Bajeti yake ni shilingi milioni 6 mpaka kuanza kulitumia.
Matumizi yake ni kuendea kazini Siku 5 kwa wiki
(kutoka Kisarawe hadi Tegeta).
Pia kwenda nayo nyumbani kwao Babati
(angalau mara mbili kwa mwaka).
_______
Nimemwambia ngoja niwaulize wakuu wa JF na wenye uzoefu wa watoe msaada Juu ya haya mambo matatu I.e
1. Bajeti ya kununulia,
2.Uimara wa Hii gari kwa hayo matumizi &
3.Upatikanaji wa spea zake.
Msaada wenu Unahitajika wakuu.
Kuna jirani yangu Unahitaji kuagiza Toyota starlet kutoka Japan,
Bajeti yake ni shilingi milioni 6 mpaka kuanza kulitumia.
Matumizi yake ni kuendea kazini Siku 5 kwa wiki
(kutoka Kisarawe hadi Tegeta).
Pia kwenda nayo nyumbani kwao Babati
(angalau mara mbili kwa mwaka).
_______
Nimemwambia ngoja niwaulize wakuu wa JF na wenye uzoefu wa watoe msaada Juu ya haya mambo matatu I.e
1. Bajeti ya kununulia,
2.Uimara wa Hii gari kwa hayo matumizi &
3.Upatikanaji wa spea zake.
Msaada wenu Unahitajika wakuu.