tofali
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 4,010
- 3,405
Huyo makondakta asipoacha unafiki ...asahau ..si mkewe alipandikizwa last year dec akafanikiwa kuwa na wa3 tumboni..at the end akapata cervical incompitance...Hiyo mimba ilikuwa ya kupandikiza mjue, so it wasnt that easy .Céline Dion nae alipandikiza sana, embryo zinakufa, mwisho wa siku Mungu akamuona. Mke wa makonda nae asikate tamaa aendelee kupandikiza. Ipo siku nae atabeba mtoto.
Mapigo mengine anayo pata ajitafakari na nafsi yake....
ila asikate tamaa