Ridhwani Mbaraka
JF-Expert Member
- Jun 18, 2017
- 484
- 1,135
Mimi nimejitoa kwa kua kila habari yeye analazimisha utumie bandle... Utakuta anaandika "Alichozungumza Zitto Kabwe leo" ...ukifungua utakuta amesema Yeye ni shabiki wa Simba.
Lkn wenzie wanaandika front Page na wala hauhitaji kufungua.
Lingine ndo hilo lá kulazimisha ufungue vídeo... Kuna wakati alikua anachelewa kuweka magazeti ili ufungue yale yanayosomwa studio.... Nilipogundua ujinga huo nikahamia Muungwana Blog.
Sent using Jamii Forums mobile app
Lkn wenzie wanaandika front Page na wala hauhitaji kufungua.
Lingine ndo hilo lá kulazimisha ufungue vídeo... Kuna wakati alikua anachelewa kuweka magazeti ili ufungue yale yanayosomwa studio.... Nilipogundua ujinga huo nikahamia Muungwana Blog.
Sent using Jamii Forums mobile app