mkaliboytza
Member
- Jul 17, 2017
- 7
- 0
Millardayo.com Mbona imeporomoka sana kutoka Rank Ya Alexa Kutoka Top Ten Kwa Tanzania hadi Nafasi ya 7000
Ule ujinga wa kila habari anaiweka kwenye video badala ya kuandika nani anataka kuunguza Mb zake kadhaa
Kwenye suala la video Mimi huwa hata siangaliiUle ujinga wa kila habari anaiweka kwenye video badala ya kuandika nani anataka kuunguza Mb zake kadhaa
Hio nija LEO Imekuwa ya 8000Hapo wamekosea nadhani , hata kama imeporomoka haiwezi fika mpaka 7000 ghafla hivi kutoka top 10
Jamiiforums ni ya ngapi? Maana zilikuwa zinafuatanaHio nija LEO Imekuwa ya 8000
jamiiforums.com ya 7 kwa tzJamiiforums ni ya ngapi? Maana zilikuwa zinafuatana
Hii imekaa pow anatakiwa aifanyie kaziUle ujinga wa kila habari anaiweka kwenye video badala ya kuandika nani anataka kuunguza Mb zake kadhaa
Itakua ni temporary nadhani, wasomaji hawawezi kuanguka kwa ghafla hivyojamiiforums.com ya 7 kwa tz