Millard Ayo Unayumba

Millard Ayo Unayumba

Wknd vibes😊😊😊.pacha ako ana rangi tamu jaman..serious wanangu nitawaftia wakwe😅💃💃💃
hakika hiii wk end aseee...sema kuburudka peke ako town watu tumekaukiana mdomo sio vzur kabisaaa
 
Kijana alianza vizuri lakini kwa sasa ameanza kuyumba, na endapo akitokea mtu mwingine au media nyingine nzuri anaweza akapotezwa

Millard kwa sasa ameanza mambo ya ubaguzi kwenye media yake, habalance tena habari zake, anapost mikutano ccm lakini habari za upinzani ameacha kupost, jana amepost mkutano wa ccm morogoro lakini kuhusu upinzani ameliruka

Kwa sasa hamna watu wanaofuatiliwa mitandaoni kama kundi la WCB lakini Millard haandiki kabisa habari zao kitu ambacho sio kizuri kwa mwandishi wa habari, ameshindwa kujifunza kwa wasafi media ambao wamekuwa hawana ubaguzi kwenye habari za wasanii na kucheza nyimbo zao

Kijana wetu anatakiwa abadilike la sivyo atajiharibia mwenyewe, sababu kazi ya uandishi haitaki ubaguzi kwenye swala la kureport habari, angalieni TBC baada ya kuacha kubalance habari na kugeuka kuwa tv ya kusifia sasa imepoteza watazamaji kabisa

Millard badilika
Ukwli ni kwamba mazingira ya utendaji kazi kwa sasa ni magumu tutamlaumu bure...
 
Fungua media house yako upost unachotaka mkuu. Usimpangie sababu wakati anaanza hukumchangua hata 500 so huwezi mpangia apost nini
Ila kunasheria anatakiwa azifuate
 
Unayoongea upo sawa 100%. Halipwi na chama lakini ukumbuke mashabiki wako (Wanaosoma habari) ndiyo wanakulipa. Kadri watu wanavyosoma blog au website yako na kuclick matangazo ndivyo mpunga unavyoongezeka. Hawa wasomaji wako wanachama kwahiyo ukiaanza mambo ya kuigemea katika chama kimoja tayari unaanza kuwagawana wasomaji wako. NAJUA HUWEZI KUNIELEWA 100% KWASABABU UPO KWENYE KUNDI LA WATU AMBAO HAWAJUI HELA INATAFUTWA VIPI MTANDAONI. WEWE UKIINGIA WEBSITE FULANI UNASOMA KISHA UNAONDOKA. USIFIKIRI ALIYEANDIKA HANA KITU CHA KUFANYA. ANAANDIKA ILI APATE PESA. HICHO ULICHOANDIKA NDICHO KIMEMTOKEA MARLAW. JF IMESIMAMA BAADA YA MELO KUTUPILIA MBALI MAMBO YA VYAMA.
POLE SANA
Mkuu kwahiyo marlaw anachoma mahindi kipindi hiki
 
Back
Top Bottom