Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 3,943
- 9,469
Apunguze uchawa kwa ccm.Nimeangalia clip ikionyesha boda boda wakilalamika kuhusu kukosa msaada muda mrefu kwa majeruhi ambaye ni mpiga picha wa office ya millard ayo.
Je amejifunza nini kama nchi yake inaweza kurekebisha yale ambayo wale bodaboda wana lalamika kwenye tukio kuhusu msaada.
Hasa kwa wahanga wa ajali za bodabodaHapo sioni kama Kuna kitu atajifunza zaidi nadhani anahangaika kutafuta replacement kwa Sasa
R.I.P mpiga picha mfumo wa huduma ya kwanza kwa nchi ni kama haupo kabisa
Atakuwepo Tu Humu HumuKwani Millard hayupo humu??
Yah na ajali zingine pia ila kwa bodaboda unaweza kuangaliwa ukiwa chini kwa saa zimaHasa kwa wahanga wa ajali za bodaboda
Atakula wapi?Apunguze uchawa kwa ccm.
Kwa huyo hao bodaboda wanaolalamika ambao walikuwepo eneo la tukio hilo ni waongo eenh??Polisi wamesema walifika eneo la tukio kwa wakati
Iko barua Kule X
Nimeangalia clip ikionyesha boda boda wakilalamika kuhusu kukosa msaada muda mrefu kwa majeruhi ambaye ni mpiga picha wa office ya millard ayo.
Je amejifunza nini kama nchi yake inaweza kurekebisha yale ambayo wale bodaboda wana lalamika kwenye tukio kuhusu msaada.
Ukiwa na gari yako ndio huwezi kupata ajali ukafa?Wafanyakazi watafutiwe(mkopo) magari ya bei nafuu waweze kutatua tatizo la usafiri.
Kumiliki gari ni muhimu sio anasa ,tena wafuatilie mpaka wapate majibu kutoka Wizara ya Fedha na TRA kama kuna kodi yenye lengo la kuwasaidia wananchi wa kipato cha chini kumiliki gari ili waweze kupunguza makali ya maisha.
Ingawa wao hawatakiwi kuthibitisha kifo ila walichosema ni kuwa huyo kijana alikata moto pale pale wakati boda akiugulia maumivu.Bodaboda guys wanalalamika polisi kutofika kwa wakati eneo la ajali kwa majibu kwamba hawana mafuta,lakini imasemekana dereva mwenzao walimuwahisha hospital.