Tetesi: Millard Ayo afunga ndoa kimya kimya

Area 56

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2015
Posts
1,553
Reaction score
4,045
Kuna tetesi mjini kuwa Millard Ayo ameamua kufunga ndoa kimyakimya bila kelele wala nini. Na kuna mdau amenambia Millard kwasasa hata hasikiki kwenye kipindi chake cha Amplifaya, pengine kuna ukweli, unampa neno gani Millard?

 
Mkuu bado hii code imefungwa sana...hebu ifungue kidogo ...hapa najua unamzungumzia Majizo ..ila sasa millard na majizo wanafanana kwenye nn
Sio Majizo hapa anamzungumzia ndugu wa yule msanii mkubwa mwenye mdomo mkubwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…