Mkuu umewahi kusikia kitu kinaitwa Combat Karate?
Hii juzi mapigo yake na nilianza kumpatia dogo,Amesema ana ngazi ya juu sana means yupo above BLACK BELT
"Hatikvah"
Ndio,nimeitwa kambini kufundisha lkn babu hataki kabisaThat means una dan?
"Hatikvah"
Unanielewa vilivyo mkuuAmesema ana ngazi ya juu sana means yupo above BLACK BELT
"Hatikvah"
mkuu angalia mdomo uliponza kichwa,pamoja na ujuvi wko unaouamini ila kwenye izo 18 weka mbali na watoto,cozmwenyew nimeshuudia timbwili la izo pipo akina kisepa 3 walikaaa.Sasa mkuu hii tabia isipokomeshwa tutakuja kuuana bure,maana hata sisi raia tuko vizuri sana kwenye kupambana,maana nina uhakika wanajeshi watatu nina uwezo wa kuwakalisha chini vzr sana,maana hata raia wengine wana bastola tutakuja kuuana hivi hivi,mi siwezi kukubali hata siku moja bora inuke tu
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu angalia mdomo uliponza kichwa,pamoja na ujuvi wko unaouamini ila kwenye izo 18 weka mbali na watoto,cozmwenyew nimeshuudia timbwili la izo pipo akina kisepa 3 walikaaa.
ayaaa mkuu jaribu bahati yako.Kuna aina ya mapigo unapopigana na kundi la watu au kuanzia watu wawili kwenda juu,huwa na mapigo ya kuua ukishusha pingo moja mtu anandondoka chini ,ndo hutumika kwenye hayo mapigano,
Sent using Jamii Forums mobile app
Uende ukamisbehave ili wakunyakue upate chanzo cha kupimana nao ubavu ila ukikutana na wanasanga sanga jina lako litakuwa marehemuKuna aina ya mapigo unapopigana na kundi la watu au kuanzia watu wawili kwenda juu,huwa na mapigo ya kuua ukishusha pingo moja mtu anandondoka chini ,ndo hutumika kwenye hayo mapigano,
Sent using Jamii Forums mobile app
Kata K jeshini? Lisiwe jambo la aibu tuusinikumbushe hio kambi ya hapo uhasibu kuna siku zamani wakati nipo TIA apo niliingia kwenye supermarket yao ya jeshi pale nimevaa kata K kulikua ni kipindi cha mvua mvua kwakweli sitasahau yaliyonikuta wanajeshi sisi sio adui zenu sisi ni raia tu adhabu zenu zinawafaa nyie sio sisi raia
sikuingia class vipindi karibu wiki nzima na nilipata kichomi ugonjwa ambao sikua nimewahi kupata tangu nimezaliwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Magereza...fika getini wambie wakupe askari akulete nyumba namba 8 kwa kichapo master. Nakusubiri usikose kuja
Jordan zuki kitambo sana, Scout hata hvy napenda kuendelea nakaa ukonga, nilikuwa nakujaga hapo gym enzi za Buku.. i wish nitakuja siku mojaMagereza...fika getini wambie wakupe askari akulete nyumba namba 8 kwa kichapo master. Nakusubiri usikose kuja
Sent using Jamii Forums mobile app
Magereza boss!