Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,317
- Thread starter
- #161
Very professionalalitishaaaa
Very professionalalitishaaaa
Mkuu, usilete siasa za maji taka katika mazingira ambayo hayahitaji mizahasisi taasisi yet inapambana
Unaweza zungumza chochote unachoweza lakini ukweli unaujaMkuu, usilete siasa za maji taka katika mazingira ambayo hayahitaji mizaha
Kwanini unatoa comments za kisiasa katika masuala yasiyohusu siasa?Unaweza zungumza chochote unachoweza lakini ukweli unauja
Kama waarab wenyewe kwa wenyewe hawaaminiani watamwamini vipi mtu baki?kitendo cha huyo rubani kuiba hilo dege...kimechochea hadi kesho wakristo wa kiarabu kutokuaminiwa na kubaguliwa na waarabu wenzao!!
Hujui pamoja na ukamanda unausiasa ndani ndani hujioniKwanini unatoa comments za kisiasa katika masuala yasiyohusu siasa?
Really?Nikiangalia hapo Israel wala hakuitaka ndege hiyo
I'm not so sure about thatalitaka tu kujua tecnologi yake na uwezo amuuzie Mmarekani, na ndo mana mwisho alipeleka kule.
Upo sahihiHiyo ndege at last muisrael aliwapelekea U.S
Okay thanks. Ninashukuru sana. Ila ninaomba pia mnikosoe pale ninapokosea kwa maana mimi pia ni binadamu sijakamilika kwa 100%
Mkuu Military Genius huu uzi ni wa zamani sana mzee baba.dahh story makini sana
Huyo mwamba ni shiiiiida baba la babadah..!
Jamaa akang'oa na MiG-21
Noma sana mzee baba.Huyo mwamba ni shiiiiida baba la baba