Kibombeko
Member
- Dec 11, 2017
- 7
- 3
Alafu tunajiita wazalendo!Wakati wenzetu wanaiba ndege kuirejesha nchi mwao sisi upinzani tunaenda kuwachongea kwa wazungu wataifishe ndege zetu wenyewe.
Alafu tunajiita wazalendo!Wakati wenzetu wanaiba ndege kuirejesha nchi mwao sisi upinzani tunaenda kuwachongea kwa wazungu wataifishe ndege zetu wenyewe.
mhuni akasepa na mig-21Uzi umekwisha au bado unaendelea
1998 AlifarikHuyo rubani mwizi bado hai au?
Mnazindua ukuta na vyooMiaka ya 60 watu wanafanya haya,
Sisi mpaka leo bado tunachunguzan uzalendo wetu.
fanya ua-update application yako ya Jamii forum hutopata usumbufu huo tena mkuuWe mbuzi umezingua kuquote uzi mzima
***** walah, wakati wenzetu wanafanya mapinduzi ya kiteknolojia (technological revolution) sisi tunawaita wanawake waliotelekezwa na waume zao kwa Bashite...tutasubir sana!
acha basi ..Wakati wenzetu wanaiba ndege kuirejesha nchi mwao sisi upinzani tunaenda kuwachongea kwa wazungu wataifishe ndege zetu wenyewe.