uporo wa wali ndondo
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 3,455
- 2,237
Looks like a shit!!what does it look like?
Looks like a shit!!what does it look like?
Nafikiri kuna kakitu umevutaWala hakuna mtoto mdogo wa kufundishwa na TL namna ya kudai haki yake hasa akiwa amewahi kukutawala kama walivyo wazungu.
Povuuuuu letaaaaaaa. Pa pa pa pa pa kuliaaaaazzz geeks. Pa pa pa eshmaaaaaaz toaaaaaa
serves you right!Looks like a shit!!
bange au ugoro because I use bothNafikiri kuna kakitu umevuta
It looks like a shithole.what does it look like?
It looks like a shiwhat does it look like?
get stuffed kid.It looks like a shithole.
It looks like a shi
Jinsi udini (hata uchama) unavyoweza kuwa sumu ya UZALENDO.dah..!
Jamaa akang'oa na MiG-21
uswazi balaaWakati wengine wakiiba ndege kwa maendele ya nchi na teknolojia..
Kuna wengine wanaiba msikitini Yeboyebo na kandambili za ma-Ustadhi..
Halafu wanadai wao ndo wazalendo nchi hii!wanalipwa posho&mishahara kwa kodi zetu nyuma ya pazia wanatusaliti!bora abakie hukohuko alikopelekwaWakati wenzetu wanaiba ndege kuirejesha nchi mwao sisi upinzani tunaenda kuwachongea kwa wazungu wataifishe ndege zetu wenyewe.
Wakati wengine wakiiba ndege kwa maendele ya nchi na teknolojia..
Kuna wengine wanaiba msikitini Yeboyebo na kandambili za ma-Ustadhi..
Then anajiita eti "mwanaharakati" na mzalendo.Halafu wanadai wao ndo wazalendo nchi hii!wanalipwa posho&mishahara kwa kodi zetu nyuma ya pazia wanatusaliti!bora abakie hukohuko alikopelekwa
Ujui unaloliongeaHalafu wanadai wao ndo wazalendo nchi hii!wanalipwa posho&mishahara kwa kodi zetu nyuma ya pazia wanatusaliti!bora abakie hukohuko alikopelekwa
We unasema hayoo ujui.wewe ni baba unanunua gari mtoto hana viatu wala ada ya shule. Unanunua jet wakati miaka minne mfururizo amna hajira, fikiri kwanzaThen anajiita eti "mwanaharakati" na mzalendo.
Umeweka mfano ambao hauna uhalisia wowote ada na viatu vya mtoto same time baba ananunua jet huo ni mfano wa kimuhemko. Bora ungesema baba ada hakuna na viatu then baba anaenda kulewa pombe na wanawake.hapo ingependeza sana.We unasema hayoo ujui.wewe ni baba unanunua gari mtoto hana viatu wala ada ya shule. Unanunua jet wakati miaka minne mfururizo amna hajira, fikiri kwanza
moral ni dini/kabila/itikadi visipewe kipaumbele kwenye upandishaji wa vyeo.Moral ni kuwajali askari na kuimarisha upelelezi Wa ndani na nje.
Utalipa simu yangu maana umesababisha ni ipigize chini kwa kichekoWakati wengine wakiiba ndege kwa maendele ya nchi na teknolojia..
Kuna wengine wanaiba msikitini Yeboyebo na kandambili za ma-Ustadhi..
Eto webuzi....daaaah mkuu umeniuzunisha kwa kumuita binadamu mwenzio mbuzi
ila kuna majina mengine ya wanyama yakitumika kwa binadamu huwa yana sound kicomedy NIMECHEKA SANA kusikia "We mbuzi"