4G LTE
JF-Expert Member
- Aug 4, 2015
- 6,777
- 10,533
Mbona mnataka itue chato?Umeweka mfano ambao hauna uhalisia wowote ada na viatu vya mtoto same time baba ananunua jet huo ni mfano wa kimuhemko. Bora ungesema baba ada hakuna na viatu then baba anaenda kulewa pombe na wanawake.hapo ingependeza sana.
Anyway,tunapokaa vijiweni kwetu, uwa tunapiga domo sana kuwa ndege tanzania sio muhimu,lakini je tujiulize ni kweli ndege haina umuhimu.serikali kuwa angalau na ndege japo ata tano kwa nchi kiujumla ni jambo la heri,sababu wewe na nduguzo unaona hazina umuhimu lakini ndege kwa uchumi unaokuwa ni muhimu sana. Kama wewe ni masikini hauwezi kumudu ghalama zake kuna wale walio na uchumi wa kati na wajuu watahitaji huduma hiyo wao pia ni watanzania na wanahaki hiyo.
Zisingekuwa na umuhimu basi ungeziona zimepaki hazifanyi kazi.
NB: ushawai kuona fly emirites imetua tabora?