Synod
JF-Expert Member
- Oct 10, 2016
- 4,089
- 4,025
Alikufa around 1998Huyo rubani mwizi bado hao au?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikufa around 1998Huyo rubani mwizi bado hao au?
Nilidhani utasema sisi tunang'ang'ana kuibiana wafuasi kwenye vyama. HahaaaWakati wenzetu wanaiba ndege kuirejesha nchi mwao sisi upinzani tunaenda kuwachongea kwa wazungu wataifishe ndege zetu wenyewe.
Hakuna wafuasi wanaoibiwa,wao wanaenda wenyewe na isitoshe haku mtoto mdogo pale ukasema ameshikwa mkono.Nilidhani utasema sisi tunang'ang'ana kuibiana wafuasi kwenye vyama. Hahaaa
Ni kweli tupu mkuuHakuna wafuasi wanaoibiwa,wao wanaenda wenyewe na isitoshe haku mtoto mdogo pale ukasema ameshikwa mkono.
the world is unfair
hatari sana ..yaani hilo tukio lilikuwa nilazaidi ya uchochezi aiseehahaha. Na watu wabaya like mataifa hayo ya 'kinyonyaji' wanafanikiwa sana sbb haweheshimu kanuni(they dont observe rules of the game) na taratibu huku mataifa 'mema' wanaheshimu.
Si ndiyo maana Trump anatukana tu watu kama hao.Wakati wenzetu wanaiba ndege kuirejesha nchi mwao sisi upinzani tunaenda kuwachongea kwa wazungu wataifishe ndege zetu wenyewe.
We mbuzi umezingua kuquote uzi mzimaMkuu hongera sana
Fedha fedhea,dah..!
Jamaa akang'oa na MiG-21
Dawa nikuwanunuWakati wenzetu wanaiba ndege kuirejesha nchi mwao sisi upinzani tunaenda kuwachongea kwa wazungu wataifishe ndege zetu wenyewe.
Wala hakuna mtoto mdogo wa kufundishwa na TL namna ya kudai haki yake hasa akiwa amewahi kukutawala kama walivyo wazungu.Hakuna wafuasi wanaoibiwa,wao wanaenda wenyewe na isitoshe haku mtoto mdogo pale ukasema ameshikwa mkono.
Ndo nini umeandika?Wala hakuna mtoto mdogo wa kufundishwa na TL namna ya kudai haki yake hasa akiwa amewahi kukutawala kama walivyo wazungu.
Povuuuuu letaaaaaaa. Pa pa pa pa pa kuliaaaaazzz geeks. Pa pa pa eshmaaaaaaz toaaaaaa
Ilikwishauzwa nyumba waliyokuwa wanakaa kabla hata ya kuanza kununuliwa wakazi wa hiyo nyumba.Dawa nikuwanunu
daaaah mkuu umeniuzunisha kwa kumuita binadamu mwenzio mbuziWe mbuzi umezingua kuquote uzi mzima
what does it look like?Ndo nini umeandika?