tunaitaji majibu ya kina,maana haiwezekani nchi ni moja ila kila siku ni milipuko huko visiwani,hawa watu wanapitisha wapi hizi silahaa ama vilipuzi?mtu anashuka bandarini dar anaingia navyo mpaka visiwani,IGP na AMIRI JESHI MKUU JK tunaitaji majibu ya kina kama usalama umewashinda mtuambie mapema