Milipuko yatikisa Zanzibar

Si kila mKristo wa Zanzibari ametokea bara...Jaji mstaafu Mch. Augustino Ramadhani ni mZanzibari kabisaaa. Arudi wapi sasa?
Targeted ni Christians - kama unajifanya hujui basi kaa hivyo hivyo.
 

Kama Polisi mmeshindwa nipeni kibali cha kufungua tawi la Ant-Baraka Zanzibar,, hii ndiyo itakuwa dawa ya kudumu..
 
Nani huyu anataka kututoa kwenye mjadala wa katiba?Tena wanataka kufanya hivi kwa gharama ya maisha ya watu?Sitaki kuamini tena kama ni waislam wenye msimamo mkali wanafanya hivi sasa!Kuna watu wabaya wameshaona vichwa vyetu maji wanatugombanisha tu kama majogoo huku wao wakiendelea kupanga mikakati ya kutumaliza!Watanzania tulieni maana tunachezeshwa ngoma tusiyoijua,tuache tofauti za kidini tuangalie nini tunahitaji na adui tutamgundua tu!Nawalaani sana na hawa viongozi wa dini wanaojiingiza kwenye siasa za serikali mbili,tatu ama moja!Wanyamaze kwani midomo yao inaweza kutumiwa na maadui zetu kuleta mtafaruku unaowafaidisha wao zaidi.

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Wewe unazungumzia Milipuko ya Zanzibar tu, vipi ya hapa kwetu Soweto katika Mkutano wa CDM na lile lililomkosa Mnyika Pale Ubungo na Polisi kusema limelipuka kwa bahati mbaya cha kujiuliza walikwendaje na Bomu katika mkutano wa CHADEMA pale Ubungo? kutokana na kutopatikana majibu juu ya matukio haya moja kwa moja nawahusisha POLISI na milipuko hii na inawezekana kabisa huwa wanafanya kwa malengo mahususi ya kuwahamisha watu kwenye mada muhimu zinazohusu mustakabari wa KITAIFA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…