Milipuko ilitokea Kwenye Miji Mitano Ya Iran: Tehran, Karaj, Qom,Mashhad,Tabriz

Milipuko ilitokea Kwenye Miji Mitano Ya Iran: Tehran, Karaj, Qom,Mashhad,Tabriz

Jackal

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2012
Posts
10,258
Reaction score
14,102
Watu wasiopungua saba wamejeruhiwa katika mlipuko uliotokea kwenye jengo la makazi pembezoni mwa mji wa Qom, Iran, kwa mujibu wa vyombo kadhaa vya habari vya Iran.

Angalau magari matano ya dharura yalipelekwa katika eneo la tukio baada ya mlipuko wa Jumatatu katika makazi ya Nasim Pardisan kuhudumia majeruhi, Shirika la Habari la Wanafunzi wa Iran (SNN) liliripoti likimnukuu Dkt. Mohammad Javad Bagheri, mkuu wa Huduma za Dharura za Qom.

===
At least seven people have been injured in an explosion at a residential building on the outskirts of the Iranian city of Qom, according to several Iranian news outlets.

At least five emergency vehicles were dispatched after Monday’s blast to the Nasim Pardisan residential complex to attend to the injured, Iran’s Student News Network (SNN) reported, quoting Dr Mohammad Javad Bagheri, head of Qom’s Emergency Services.
1752749878679.png

Source Aljazeera, 14 July, 2025
 

Attachments

  • Screenshot_20250717-123737.png
    Screenshot_20250717-123737.png
    399 KB · Views: 21
Kumbe Bado wanazichapa kimyakimya!!!
Mkuu,kumbuka kwamba kipigo walicho kipata Wayahudi kutoka kwa Iran kiliwatia sana aibu, maanake wao ndiyo walikuwa wanajifanya vifaru mashariki ya kati na jeuri juu - sasa ndiyo maana wana resort kwenye kutumia overt na covert actions/operation kama njia ya kutaka kulipiza kisasi kutokana na madhara makubwa ya kuharibiwa infrastructures zao nyeti za kijeshi na kiraia kutokana na makombora ya Iran

Wayahudi wataendeleza hujuma zoo kwa kificho dhidi ya Iran, hivyo Iran wanapashwa kuwa macho sana hasa kuhusu Wayahudi wanao ishi Iran kwa miaka mingi sana hao ndiyo wanao wapatia Waisrael intellijesia za kijeshi na mambo mengine hatarishi,kuishi kwao Iran kwa miaka mingi kisiwe kigezo cha kuwa amini kwa asili mia mia, wawe macho Sana na jamaa hawa, si watu wazuri hata kidogo.
 
Mkuu,kumbuka kwamba kipigo walicho kipata Wayahudi kutoka kwa Iran kiliwatia sana aibu, maanake wao ndiyo walikuwa wanajifanya vifaru mashariki ya kati na jeuri juu - sasa ndiyo maana sana resort Latinos overt na covert actions/operation Kama nia ya kulipiza kisasi Kia lavishes na makombora ya Iran na NATO Wayahudi wataendeleza Hakuna zao za kificho dhidi ya Iran, Wait and wawe macho Sana na jamaa hawa, so watu wazuri hata kidogo.
Aisee!Ni kweli mazayuni yalipigwa sana hadi yakaacha kuendelea na mradi wao wa nyuklia.🫸🫷😎
 
Israel hawezi vita ataishia kutumia njia za ugaidi wa kulipua huku na huku ndicho anacho kiweza. Mwambie kama mwanaume akashambulie kama alivyo shambulia Syria kwa ndege zake.
Yaani wewe kitu inaitwa ilim duniya imekaa pembeni kabisa yaani kwa namna unavyoongeq inathibitisha utakuwa mwenyekiti kwenye vijiwe vya gahawa.
Kwa hali ya kawaida unaposema mwambie akapige unataka nani ambwambie?
 
Israel hawezi vita ataishia kutumia njia za ugaidi wa kulipua huku na huku ndicho anacho kiweza. Mwambie kama mwanaume akashambulie kama alivyo shambulia Syria kwa ndege zake.
Kwani hakuishambulia Iran na kuua wakuu wa majeshi huko ?!.
Iran atajuta kumtunishia misuli Israel.
 
Yaani wewe kitu inaitwa ilim duniya imekaa pembeni kabisa yaani kwa namna unavyoongeq inathibitisha utakuwa mwenyekiti kwenye vijiwe vya gahawa.
Kwa hali ya kawaida unaposema mwambie akapige unataka nani ambwambie?
We ukiwa ma elimu nilio nayo mimi usinge ongea uharo huo. Kwa hio kitu gani anacho fanya Israel huko Iran ukaona cha mana ugaidi. Unampiga mtu afu unajificha kwa kutumia wananchi wa kiyahudi ambao wanapewa haki zote Iran. Unataka Iran ianze kuwashambulie afu mlalamike anawaonea wayahudi wenye asili za Iran.
 
Back
Top Bottom