muafi
JF-Expert Member
- Oct 6, 2015
- 2,115
- 4,801
Huwezi kuja kutuomba kura tena wakati ahadi ulizotoa hukutimiza, mi naombeni mniambie mgombea wa Chama cha Mapinduzi alit amka sana kuwa atatoa milioni hamsini kila kijiji sasa hizo hela ziko wapi?
Alikua anatudanganya au? Je? Alikua anatulaghai?
Sisi tunaomba CCM mtuambie hizo hela ziko wapi halafu mtuombe kura tena.
Alikua anatudanganya au? Je? Alikua anatulaghai?
Sisi tunaomba CCM mtuambie hizo hela ziko wapi halafu mtuombe kura tena.