Niliacha kucheza ya timu 13 kwasababu ina bonus ndogo unapata timu 10 unapewa hata sh500 kwasabu idadi ya wanaopata ni wengi,. Ila timu 17 nimeingia kwenye bonus zaidi ya mara 5 huwa naangukia timu 13,14 na 15, bonus ya juu ilikuwa sh 480,000.
Mi lengo langu ni kupata zote ,ila kwenye jackpot ukichambua usiamini timu moja au zaidi ukairudia kwenye mikeka yote,maana ukiweka ushindi halafu haijashinda unakuwa umepoteza mechi moja tayari kwenye mikeka