Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
Habari zenu wanajamvi!kabla ya yote napenda kutanguliza shukrani zangu za dhati kwa manajamvi kwa michango ya mawazo mbalimbali ambayo inatusaidia wengi wetu.
wana jf wamekua sio wachoyo wa mawazo na ama kwa hakika wa tz wote tungekua tunapeana michango na mawazo kama ivi,tungefika mbali sana.
Mimi ni mfanyakazi serikalini,mshahara ninaopata si mkubwa sana,nilikua nafkiria kujishughulisha na mradi ambao utanisaidia kidogo kusogeza ili gurudumu la maisha.Swali langu ni kwamba,nina 3 mil naweza nkafanya biashara gani?
Naomba mnisaidie mawazo yenu wakuu!
Hizo mil.3 umekopa au unazo mkononi?