Milio ya risasi yasikika usiku Bujumbura

Milio ya risasi yasikika usiku Bujumbura

Itabidi Zitto Aende Haraka Sana Ndugu Zake Wanamalizana
 
Tatizo la jesh wanapokea amri kama mbwa, kumtii Piere ni ujinga mtupu

Mkubwa nadhani kwenye nchi inayongozwa kidemokrasia wanajeshi wanatakiwa kutii civilian administration. By the way, Pierre Nkurunziza ni rais halali hadi uchaguzi mwingine utakapofanyika. May be it is inappropriate kuwaita wanajeshi mbwa, bila kujali amri wanapokea kutoka kwa nani.
 
Jeshi limegawanyika, asubuhi hii mapigano makali sana yamezuka mji mkuu wa Burundi kati ya wanajeshi watiifu kwa Rais na wale watiifu kwa Jenerali aliyepindua...mapigano hayo yanalipotiwa kuzuka karibu na State media house ambayo toka jana ilikuwa chini ya watiifu wa Rais...

===========================

Chanzo:BBC

Huyu Jenerali alieongoza mapinduzi kumbe ni mwanamke, au macho yangu hiyo picha hapo!
 
Wanajeshi wanaounga mkono mapinduzi na wale wanaomtii Nkuruzinza nchini Burundi wamerushiana risasi kwenye kituo cha TV cha Taifa. Pia milipuko imesikika sehemu mengine za Bujumbura.

Majenerali wa kijeshi watiifu kwa Pierre Nkurunziza ni Gen. Adolph Nshimirimana na Gen. Gillaume Bunyoni. Ndiyo waliokuwa wakimshinikiza P. Nkurunziza agombee mhula wa 3. Lazima wapambane na hao wajeda waliompindua raisi P. Nkurunziza!
 
Itabidi Zitto Aende Haraka Sana Ndugu Zake Wanamalizana
Itabidi tumuonye pia Mbowe juu ya madhara ya kuinajisi katiba yetu, ameinajisi ili awe mwenyekiti wa kudumu, mie sioni tofauti yake na Nkurunzinza, wote ni walafi sana wa madaraka
 
CE8vpz-VEAEfcFU.jpg
.
wamechafukwa.....
 
Major jenerali Niyombare amefanya haraka sana kutaka kupindua nchi!lazima viongozi waanze kukubaliana wenyewe huko jeshini halafu askari wadogo pia wakubali na lazima majeshi yote,idara zote zakiusalama zikubaliane ndipo mapinduzi yatafanikiwa.

Yeye alidhani itakuwa rahisi kidizaini hiyo!waliojaribu kufanya mapinduzi ni bora tu wakimbie nchi mapema kabla hawajanyongwa!!
 
Hivi sisi wa Afrika sijui tumelaaniwa na nani... Kuna raha gani kua kiongozi na mihela mingi, huku ukiwa na maadui, na nchi na wananchi wakiwa kwenye hali mbya ya kimaskini. Badala ya kuongoza nchi kwa heshina na upendo, na nchi na wananchi waka pata maendeleo, Nchi ikapendeza. Hata kama tutasoma vipi na kupata vyeti vingapi bado akili za kiafrika ni za ajabu tu. Wenzetu walionendelea huko kwao hakuna resource kama tulio kuwa nayo hapa afrika lakini wanazidi kupanda juu kimaendelea na sisi tunabomoa
 
Museven ataongozana na huyu fa*la the hague
 
Major jenerali Niyombare amefanya haraka sana kutaka kupindua nchi!lazima viongozi waanze kukubaliana wenyewe huko jeshini halafu askari wadogo pia wakubali na lazima majeshi yote,idara zote zakiusalama zikubaliane ndipo mapinduzi yatafanikiwa.

Yeye alidhani itakuwa rahisi kidizaini hiyo!waliojaribu kufanya mapinduzi ni bora tu wakimbie nchi mapema kabla hawajanyongwa!!

Mkuu sio rahisi kama unavyofikiri, huyu God alijipanga kisawasawa na kama angekuwa amekurupuka Nkurunzinza angeweza kutua jana Bujumbura, hata kama angekuwa amejipanga kama unavyotaka wewe lazima rais angepata watiifu wanajeshi watiifu kwake. Hili game ni kubwa sana na lazima machafuko yatokee ila kiukweli Nkurunzinza hawezi kuchukua tena nchi
 
Nkurunzenza kesha chelewa hata jeshi lake likishinda vurugu hazita isha
 
Back
Top Bottom