qn of sheba
JF-Expert Member
- Sep 13, 2011
- 3,230
- 1,382
Tunaanzaa leo na hivi USA wameingia mtoano
Yeah wamepita na ujerumani
Tunaanzaa leo na hivi USA wameingia mtoano
Jamani sio Mabomu tuko hapa USA Embassy tunaazimisha uhuru hizo ni Fataki
Jamani sio Mabomu tuko hapa USA Embassy tunaazimisha uhuru hizo ni Fataki
nasikia ni mabomu ymelipuka kambi ya jeshi.....eti iko mikocheni........nimesikia ving'ora now vinakimbilia huko
M23 waiteka state house ya JK.
Ni kweli wadau ?au nimelishwa kasa ?
something must be happening in lugalo.. coz moto hewani na cheche kibao zimetawala angani
nasikia ni mabomu ymelipuka kambi ya jeshi.....eti iko mikocheni........nimesikia ving'ora now vinakimbilia huko
Wana Jamii Forums,
Kuna milio (nafikiri) ya risasi inarindima sasa hivi maeneo ya Kinondoni. Tujuzeni mnaojua kinachoendelea tafadhali.