Milio ya "risasi" kinondoni - tujuzeni wadau

Milio ya "risasi" kinondoni - tujuzeni wadau

Sasa kila mtu anauliza nn hku kajifungia ndani si muendo huko mnaposikia milipuko
 
Wana Jamii Forums,

Kuna milio (nafikiri) ya risasi inarindima sasa hivi maeneo ya Kinondoni. Tujuzeni mnaojua kinachoendelea tafadhali.

Nadhani ni mitaa ya ubalozi wa marekani wanarusha mafataki
 
Back
Top Bottom