Ni fataki kuna sherehe hapa jirani yangu Mediterreniano hotel, muwe na amani sio milipiko na hivi sasa imeshaisha
Hivi kwani hakuna utaratibu wa majirani kutaarifiwa kama kuna mambo ya kustua yatakayojiri kukiwa na shughuli za wenye uwezo wa kufurahi hadi kufatakisha?
Kuna watu wana magonjwa yao ambayo hata ukimpigia chafya ghafla sikioni anazimia; sembuse FATAKI? Hata kama manispaa zetu hazina sheria hiyo, kwa ustaarabu tuu, kumbi zinazoaandaa shughuli zenye matumizi ya hii milipuko wawe wanatoa taarifa kwa jamii jirani-kupunguza hofu zisizokuwa na sababu!