Miliki kampuni yako kirahisi

Miliki kampuni yako kirahisi

Waambie nida wakurekebishie inawezekana na ukasajiri kampuni kwa Namba tu hata kabla hawajakupa kitambulisho.
Yaan naelekea mwezi wa 2 nahangaika nao wameniambia wamesitisha kutoa namba zikizokosewa sijui kisa corona!
Na niliwaomba mno!
 
Ulichelewa kudownload kabla hawajaweka kauzibe?,
Binafsi utundu umenisaidia,,baada ya kuona sole za viatu zinazidi kuisha kwa safari za nida,nikaamua kutulia na kitecno changu,wiki tu nikapata namba na kudownload faster,saa hivi hata hardcopy watoe mwaka 3000,sina presha


Dah..umeipataje!?
 
Nimesajilia jina la mume! Ana hofu balaa anajua ukindaki ndaki wangu niharibu wamkamate yeye🤣🤣🤸🤸✌✌
Pole😅.Karekebishe sahivi hakuna jamu.Tena wewe hilo tatizo lako ni dogo tu halitachukua muda mrefu.Si umesikia walivyotia mkwara kuhusu kumiliki laini zaidi ya moja mtandao mmoja.
Hongera kwa ndoa👏.
 
Mkuu angalia usifukuzuliwe bujumbura,,,kwani unajua angalau kuongea kisukuma,,labda itasaidia kidogo🙄🙄?
😛😛😛! Ajabu wasukuma wote Kule wamepewa..except me!..kwakweli kilugha nw nakijua vilivyo
 
Pole😅.Karekebishe sahivi hakuna jamu.Tena wewe hilo tatizo lako ni dogo tu halitachukua muda mrefu.Si umesikia walivyotia mkwara kuhusu kumiliki laini zaidi ya moja mtandao mmoja.
Hongera kwa ndoa👏.


Kesho naenda Tena ..maana wakiona simu yangu oh dada wa geita eh..subiri😔!
Kwamba hongera kwa ndoa! Haya senkiu vere machee( in Makinda's voice)
 
Ulichelewa kudownload kabla hawajaweka kauzibe?,
Binafsi utundu umenisaidia,,baada ya kuona sole za viatu zinazidi kuisha kwa safari za nida,nikaamua kutulia na kitecno changu,wiki tu nikapata namba na kudownload faster,saa hivi hata hardcopy watoe mwaka 3000,sina presha
Namba ninayo kaka😅.Nangoja hardcopy tu.
 
Kipindi kile mwakajana website,yao ilikuwa na option ya kuipata namba,ukijaza jina lako sahihi,la babu na la mama,,ilikuwa ukipata namba kunakuwa na option ya download softcopy,,unaweka namba ya nida,,unadownload kitambulisho,,then hizo option wakaziondoa aisee
Mie nimepata deal nikaambiwa fungua kampuni chap...lols ..shetani anambwembwe sana
 
Back
Top Bottom