Miliki biashara yako kwa mtaji unaolipa

Miliki biashara yako kwa mtaji unaolipa

induna's

Member
Joined
Jul 26, 2014
Posts
40
Reaction score
3
RIFARO AFRICA ni kampuni mama toka tanzania yenye lengo la kumsaidia mmiliki wa simu ya mkononi kuweza kunufaika na muda wa hewani anaoutumia kwa kumuingizia KIPATO

Kampuni ilipata wazo toka 2011 ,lakin rasmi ilianza kuifanyia kazi 2012 mwezi 12 baada ya taasisi zote kupitia na kujiridhisha na utendaji utakaoenda kumsaidia mtumiaji wa simu kuwa UPO SAHIHI

BIDHAA
Kampuni imetuletea bidhaa makin sana muda wa hewani AIRTIME bidhaa ambayo katika maisha ya sasa hivi inaumuhimu mkubwa sana,iwe mchana au usiku ,wakati wa shida au wa raha bado tunatumia sana KUMBUKA SIMAANISHI KUWA UNAKUWA MUUZA VOCHA BALI KWA MATUMIZI YAKO BINAFSI UNALIPWA

MFUMO
Rifaro africa inaendesha biashara katika mfumo wa mtandao ‘network marketing’ biashara ambayo inakufanya uachane na kutumia nguvu nying ,bishara ambayo itakupatia kipato ambacho hakina kikomo ,uwepo usiwepo biashara yako itaendelea kuwepo

Rifaro wameuweka mfumo huu katika VIZAZI 15 utalipwa kuanzia kizazi cha 1 hadi cha 15 kwa uwiano tofauti kulingana na kizazi kwa kizazi

AINA YA MALIPO
1.Malipo ya wiki
Haya ni malipo ya kizazi yanayotokana na kazi uliyoifanya wew kwa kukishirikiana na washirika wako katika biashara kuanzia kizaz cha 1 hadi 15.
Utalipwa kulingana na idadi ya ya washiriki wapya walio ingia katika wiki husika

wiki ya rifaro inaanza jumatano saa12.01 usiku .
malipo hayo hulipwa siku ya jumatano kwenye ATM card yako(visa)

MALIPO YAPO VIP?
Kizazi cha 1=20000 kwa kila atakayeingia mmoja kwa mmoja
kizazi cha 2=8000
kizazi cha 3-5=5000 kwa kila kizazi
kizazi cha 6=3000
kizazi cha 7 hadi 15=2000 kwa kila kizazi

MFANO
Kwa mwezi umeingiza watu 10 na kila mmoja akaingiza watu 10 ni mfano unaweza ingiza watu wengi sana katika biashara
1.20,000×10=200,000
2.8,000×100=800,000
3.5,000×1000=5milion
4.5,000×10000=50milion
6. more than 50milion
7-15. more than!!!!

MALIPO YA MWEZI
Haya ni malioo yanayotokana na muda wa hewani AIRTIME uliyotumia wewe na washirika wako katika biashara mpka kizazi cha 15

kampuni inatupatia 6.5%ya muda wa hewani tuliotumia mwezi mzima
wewe1% ya matumiz yako
kizazi cha 1 hadi 5=0.5%Kwa kila kizazi
jumla 2.5%ya vizazi vyote 5
kizazi cha 6 hadi 15=0.25 kwa kila kizazi jumla 2.5 kuanzia 7had15
jumla (1+2.5+2.5)%=6%
na 0.5%iliyobaki ni kwa ajili ya zawadi

Kampuni itakukabidhi zawadi kulingana na idadi ya washiriki kuanzia kizazi cha 1 hadi 15
MFANO
Team yako nzima ina idadi ya watu 100,000 na utalipwa 0.5%ya sh20000 atakayotumia kila mmoja katika huo mwezi utalipwa 100,000,000
piga hesabu ya 0.5%!!!!!!
15,000 zawad ya kiwanja
25,000 safari ya kwenda macca au izrael
40,000 gari 1(15mln kwa thamani ya sasa)
70,000 gari2(150 miln kwa thaman ya sasa)
120,00 posho vila(nyumba ya kifahari 400-500mln)na unaweza chagua aidha apartment,hotel,au nyumba yakuishi

MTAJI WA BIASHARA
kama ilivyo biashara nyingine hii pia itakuhitaji uwekeze mtaji wa 128,500/=TU
Utapata
1 DVD yenye mafunzo ya kibiashara
2 ATM card (2000 Salio ndani yake na ambaye itatumika kwa malipo yako yote)
3 kitabu cha biashara
4 website(kukuwezesha kuingia kwenye ofisi yakokuona biashara yako yote
5 5000 salio vocha
6 namba ya uanachama

BIASHARA HII INALIPA
MATAJIRI WENGI ULIMWENGUNI WALITUMIA FURSA KAMA HII
simu yako jembe lako


CONTACT 0766522288 /0773341597
 
Hakuna biashara hapa. Hii ni utapeli aka ponzi kwa lugha tofauti.
 
Hapo nilipo bold ni uongo na utapeli ulio kubuhu....

RIFARO AFRICA ni kampuni mama toka tanzania yenye lengo la kumsaidia mmiliki wa simu ya mkononi kuweza kunufaika na muda wa hewani anaoutumia kwa kumuingizia KIPATO

Kampuni ilipata wazo toka 2011 ,lakin rasmi ilianza kuifanyia kazi 2012 mwezi 12 baada ya taasisi zote kupitia na kujiridhisha na utendaji utakaoenda kumsaidia mtumiaji wa simu kuwa UPO SAHIHI

BIDHAA
Kampuni imetuletea bidhaa makin sana muda wa hewani AIRTIME bidhaa ambayo katika maisha ya sasa hivi inaumuhimu mkubwa sana,iwe mchana au usiku ,wakati wa shida au wa raha bado tunatumia sana KUMBUKA SIMAANISHI KUWA UNAKUWA MUUZA VOCHA BALI KWA MATUMIZI YAKO BINAFSI UNALIPWA

MFUMO
Rifaro africa inaendesha biashara katika mfumo wa mtandao ‘network marketing' biashara ambayo inakufanya uachane na kutumia nguvu nying ,bishara ambayo itakupatia kipato ambacho hakina kikomo ,uwepo usiwepo biashara yako itaendelea kuwepo

Rifaro wameuweka mfumo huu katika VIZAZI 15 utalipwa kuanzia kizazi cha 1 hadi cha 15 kwa uwiano tofauti kulingana na kizazi kwa kizazi

AINA YA MALIPO
1.Malipo ya wiki
Haya ni malipo ya kizazi yanayotokana na kazi uliyoifanya wew kwa kukishirikiana na washirika wako katika biashara kuanzia kizaz cha 1 hadi 15.
Utalipwa kulingana na idadi ya ya washiriki wapya walio ingia katika wiki husika

wiki ya rifaro inaanza jumatano saa12.01 usiku .
malipo hayo hulipwa siku ya jumatano kwenye ATM card yako(visa)

MALIPO YAPO VIP?
Kizazi cha 1=20000 kwa kila atakayeingia mmoja kwa mmoja
kizazi cha 2=8000
kizazi cha 3-5=5000 kwa kila kizazi
kizazi cha 6=3000
kizazi cha 7 hadi 15=2000 kwa kila kizazi

MFANO
Kwa mwezi umeingiza watu 10 na kila mmoja akaingiza watu 10 ni mfano unaweza ingiza watu wengi sana katika biashara
1.20,000×10=200,000
2.8,000×100=800,000
3.5,000×1000=5milion
4.5,000×10000=50milion
6. more than 50milion
7-15. more than!!!!

MALIPO YA MWEZI
Haya ni malioo yanayotokana na muda wa hewani AIRTIME uliyotumia wewe na washirika wako katika biashara mpka kizazi cha 15

kampuni inatupatia 6.5%ya muda wa hewani tuliotumia mwezi mzima
wewe1% ya matumiz yako
kizazi cha 1 hadi 5=0.5%Kwa kila kizazi
jumla 2.5%ya vizazi vyote 5
kizazi cha 6 hadi 15=0.25 kwa kila kizazi jumla 2.5 kuanzia 7had15
jumla (1+2.5+2.5)%=6%
na 0.5%iliyobaki ni kwa ajili ya zawadi

Kampuni itakukabidhi zawadi kulingana na idadi ya washiriki kuanzia kizazi cha 1 hadi 15
MFANO
Team yako nzima ina idadi ya watu 100,000 na utalipwa 0.5%ya sh20000 atakayotumia kila mmoja katika huo mwezi utalipwa 100,000,000
piga hesabu ya 0.5%!!!!!!
15,000 zawad ya kiwanja
25,000 safari ya kwenda macca au izrael
40,000 gari 1(15mln kwa thamani ya sasa)
70,000 gari2(150 miln kwa thaman ya sasa)
120,00 posho vila(nyumba ya kifahari 400-500mln)na unaweza chagua aidha apartment,hotel,au nyumba yakuishi

MTAJI WA BIASHARA
kama ilivyo biashara nyingine hii pia itakuhitaji uwekeze mtaji wa 128,500/=TU
Utapata
1 DVD yenye mafunzo ya kibiashara
2 ATM card (2000 Salio ndani yake na ambaye itatumika kwa malipo yako yote)
3 kitabu cha biashara
4 website(kukuwezesha kuingia kwenye ofisi yakokuona biashara yako yote
5 5000 salio vocha
6 namba ya uanachama

BIASHARA HII INALIPA
MATAJIRI WENGI ULIMWENGUNI WALITUMIA FURSA KAMA HII
simu yako jembe lako


CONTACT 0766522288 /0773341597
 
Hapo nilipo bold ni uongo na utapeli ulio kubuhu....

KWANN TUNAAMINI KATIKA UTAPELI ?

Kama wote tutaamin katika utapeli itakuwaje ktk fursa jenga imani na biashara yako

biashara hii co inafanyika barabarani inaofisi makao makuu ofisi zipo kila mkoa na inafanya kazi na makampuni ya simu pamoja na mabenki je utapeli upo wapi ?

karibu ofisin uulize maswali na ujifunze zaid piga namba hapo juu utaelekezwa nakupokelewa
 
Back
Top Bottom