Jaby'z
JF-Expert Member
- Jan 15, 2013
- 4,319
- 7,655
milambo na boys ni vitu viwili tofauti. Kwanza angalia nature ya selection. boys ni vichwa wanajitambua kwa nini wameenda shule so lzm wawe wastaarabu na wafanye kile kilichowapeleka. sasa wenzangu na mie wala mboo kwnda shule wamelazimishwa zaidi ya vurugu ili warudi kwao kwa kisingizio cha kufukuzwa shule watafanya nini? Boys is quite excellent guys.
hahah mkuu ukisema hvo unakosea mana kama msuli tulikua tunapiga kama kawaida na umafia tunaufanya tabora boys wanajua msuli ndo kila kitu hata hawajui life la nje linaendaje proud to be mlambo