Risk manager
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,807
- 17,358
Kila idara unamaanisha nini.
Kila idara namaanisha kuwa kitabu tunasukuma na kufaulu kuliko nyie, michezo tunawafunga pia .
Mie nakumbuka tumeshawahi kuwafunga pale uhaziri na mkatupiga kwa mawe,pia uwanja wa mwinyi tuliwafunga mpaka ffu ndo wakaja kutupeleka shuleni.
Yanin nyie ubabe na fujo ndo mnatuzidi.
Cjui miaka hii kama imechange milambo