Milambo high school alumni

Milambo high school alumni

Miiilambooo shule yangu naipendaaaa!ina michepuo!yenye sifa teleeee,hasa ya lugha . . . . . . . .wengi wetu Mwenyezi Mungu ametubariki,hasa wazee wa EGM tumelundikana mitaa ya Posta Dar.
 
Wanaume eee.......eeeee! Ndo msemo tuliokuwa tumezoea na ulitupa nguvu ya kufanya chochote mpaka tulikuwa tunaogopwa na polisi
 
He! Nimekumbuka mihogo kwa maneno pale nje. Ila tungekuwa na ushirikiano wa KUTOSHA tungemtoa maneno ametulea sana walambo jamani.
Namaanisha tungechanga tumuongezee mtaji
 
haaa tulikuwa tunaita milambo wanaume halafu taboraboys tulikuwa tunanyukwaje
 
haaa tulikuwa tunaita milambo wanaume halafu taboraboys tulikuwa tunanyukwaje

Hahahaaaa..... Taboraboys Walikuwa vr inferior. Walikuwa wanatuchukia kuwachukulia girls ambao wapo close nao. So walichokuwa wanafanya ni kutubeep alafu tunawapigia
 
kibondo wadau walimshika kalio akalia.2007 nilikua FORM V PCB hatukuwa na mwalimu hata mmoja full tuition ni noma
 
Ninyi mnazungumzia milambo ya 2007! Mambo yalishapoa sana mbona! Milambo yetu ya 1984 ya headmaster Msemakweli ambaye mkewe ndo alikuwa Principal wa uhazili! Mambo yalikuwa mambo mwulize Richard Katunka reporter wa RFA kigoma! Tulikuwa tunaingia Warsaw tunavotaka wakuu! Jamaa wa boys walikuwa hawatuwezi! Kulikuwa na jamaa anaitwa Kalekezi wa kigoma alikuwa form three alikuwa anaamkia hukohuko kama home kwake tu!
 
Sisi tulikuwa pale enzi za mzee majubwa a.k.a Jubwa yule jamaa alikuwa noma, pia nawakumbuka akina nzogera, sikazwe!
 
kisa waschana wa t.girls. Milambo shule ya wahuni si wajua tena boyzia wazee wa kukaza vijana wanasoma kama wametumwa na kijiji.

tabora byz hamna lolote mmewahi kuja milambo na tbr grlz wenu kwenye history joint venture mada ikawekwa mezani mkajifanya wajuaji eti mada imekosewa. Alipanda dada mmoja wa tabora girlz akawashushua akafafanua kila kitu mkabaki mdomo wazi!

Uwanja ukatawaliwa na milambo na tabora gilz, tbr boyz mkawa watazamaji tehetehe tukawaambia jiiteni THE TAIL OF TANZANIA.
 
Nyie was*ng* mlikuwa mnatuchukulia dada zetu wa Warsaw nawachukiaje? Kombetuliwapa la Askofu Mgulunde kisago balaa wakati huo , Ali Mayai, Winfred Kidau, Renatus Njohole wamemaliza form four Shule ya Wanaume wakaja A level Milambo kwa vivulana. DOGO Akilimali Yahya enzi hizo yuko form one 1997 alikuwa anawakusanya mabeki wa Milambo kama Messi.
 
Aseeh milambo ni hatari sana nilisoma box 2 miaka minne ila nilpofika milambo nilsurrender
 
Sikazwe na somo la civics na kiswahili mnoko balaa! Zoma michezo alikuwa anawapiga mbata sana akina Maulid Chang'walo aka kwato na akina Ubah Salim jamaa beki hupiti hata utoke UYUI SEC uliza Renatus anamkumbuka vizuri. Jubwa baba Lao mlevi balaa anatembea bega moja chini kimtindo na halafu yule tolu wa kifaransa ligha gumu balaa! Aahh milambo jamani na warsaw! Boys tulikuwa tunakula zote hatari
 
milambo na boys ni vitu viwili tofauti. Kwanza angalia nature ya selection. boys ni vichwa wanajitambua kwa nini wameenda shule so lzm wawe wastaarabu na wafanye kile kilichowapeleka. sasa wenzangu na mie wala mboo kwnda shule wamelazimishwa zaidi ya vurugu ili warudi kwao kwa kisingizio cha kufukuzwa shule watafanya nini? Boys is quite excellent guys.
 
Nakumbuka siku tumechimbia chungu katikati ya uwanja wa Alli Hssan mwinyi tukakesha tunaulinda pia siku ya mechi nikaingia na kwama nikiwa nimevalia sket na t-shirt ya KAZIMA SEC jamaa nao wakaachia njiwa uwanjani akatua jukwaa kuu tukapigwa gori za fasta fasta nikatamani nivue nguo lakin baada ya kumuua yule njiwa mambo yalibadilika miss so much MILAMBO, Pia nakumbuka tulivyoandamana kwenda kwa DITOPILE MUZUZULE,siwezi sahau Califonia kuliwa na mavi sana, jamaa kaenda kujisaidia msituni kagongwa na nyoka kwenye uume bweni langu Nyeree no 7
 
Back
Top Bottom