Boney E.M.
JF-Expert Member
- Jan 22, 2007
- 425
- 35
Hakika kuna mengi sijayaona duniani. Je Pape a JF mbona sijaona kuhusu ukeketaji? Inatakiwa wanaume kwa pamoja tupige vita mila hii inaondoa raha ya tendo zima la mahusiano. Kama kuna mwenye nazo picha hizo atuwekee.