ninasikitishwa sana na kitendo cha kupotezwa mila zetu na wazungu enzi zile taratibu za mila ziliwaadhibu waliokwenda kinyume na kanuni na taratibu zilizowekwa lakini leo hii watu wanafanya vitu visivyo na hakuna hatua zozote zinachukuliwa. tufanyaje kurudi katika taratibu zetu za zamani!