Huo ndiyo ukweli, tumepigwahakuna hospitali Kenya yenye gharama milioni 10 kwa siku
Huo ndiyo ukweli, tumepigwahakuna hospitali Kenya yenye gharama milioni 10 kwa siku
Mwenyekiti ataendelea kula bata tu, akiona ansishiwa anatengeneza event nyingine itakayozalisha mpungaNi kweli mkuu lakini lazima tuhoji kuna michango mingine imechangwa kimya kimya na unajua wazee wa kuongeza mahesabu na kujifanya walikopa pesa kwa riba zinatakiwa kurudishwa!
Tuanzie richmond!
Ndio wameanza mazoezi si umesikia wengine wamekwenda kwa waganga!Mwenyekiti ataendelea kula bata tu, akiona ansishiwa anatengeneza event nyingine itakayozalisha mpunga
Kikwete alikuwepo mpaka 2015 ikulu huyu aliejiondoa kwa aibu saidi kubenea akatajirika kwa mgongo wake!Humjui kikwete au??
Ulitaka niite waandishi ili uamini!Mtoa mada ulitoa shilingi ngapi
WATU WANAPIGA PESA ZA RAMBI RAMBI ITAKUWA ZA MATIBABU?
Kaulize kwanza pesa za rambi rambi zimerudi???
Kikwete alikuwepo mpaka 2015 ikulu huyu aliejiondoa kwa aibu saidi kubenea akatajirika kwa mgongo wake!
Mtanzania usiejitambua na sidhani kama unajua hata duniani unafanya nini!Mimi ni mtanzania!
Hatuhitaji kujua Kama unatumika, waliotoa michango hawajadai risiti iweje upewe wewe changu..?Wahenga walisema kufa kufaana usemi huu unakamilika hapa kwa jamaa waliochukua mgonjwa na kumpeleka nchi jirani na kutuletea gharama za matibabu ukiangalia kwa undani kiwango kilichosemwa ni kingi sana mpaka inapelekea kunusa harufu ya ufisadi
Tutaamini vipi tunaomba tuonyeshwe rist za matibabu kuliko kupewa hesabu ya jumla!
Tusiogope kuhoji!
We ulitoa hiyo hela hadi ikuume, au mlitaka mpige kama ya rambirambi ya watoto wa arusha, eti uonyeshwe rist we kama nani sasaWahenga walisema kufa kufaana usemi huu unakamilika hapa kwa jamaa waliochukua mgonjwa na kumpeleka nchi jirani na kutuletea gharama za matibabu ukiangalia kwa undani kiwango kilichosemwa ni kingi sana mpaka inapelekea kunusa harufu ya ufisadi
Tutaamini vipi tunaomba tuonyeshwe rist za matibabu kuliko kupewa hesabu ya jumla!
Tusiogope kuhoji!
Kawahoji walio agiza vichwa vya gari moshi na kuviingiza nchini alafu wanatufanya watanzania malofa kwa kujifanya hawajui anaye vimilikiWahenga walisema kufa kufaana usemi huu unakamilika hapa kwa jamaa waliochukua mgonjwa na kumpeleka nchi jirani na kutuletea gharama za matibabu ukiangalia kwa undani kiwango kilichosemwa ni kingi sana mpaka inapelekea kunusa harufu ya ufisadi
Tutaamini vipi tunaomba tuonyeshwe rist za matibabu kuliko kupewa hesabu ya jumla!
Tusiogope kuhoji!
Amina mkuu palipo na mungu hapalibiki nenouoneshwe wewe kama nani
Mungu Mkubwa sana Amemponya LISU
Tutazidi kumwomba zaidi na zaidi.Tutachanga zaidi na zaidi
Wahenga walisema kufa kufaana usemi huu unakamilika hapa kwa jamaa waliochukua mgonjwa na kumpeleka nchi jirani na kutuletea gharama za matibabu ukiangalia kwa undani kiwango kilichosemwa ni kingi sana mpaka inapelekea kunusa harufu ya ufisadi
Tutaamini vipi tunaomba tuonyeshwe rist za matibabu kuliko kupewa hesabu ya jumla!
Tusiogope kuhoji!
Malengo yenu ya kuondoa uhai wa mh Lissu yameota mbawahiyo hospitali hata milioni 1 haifiki Mbowe fisadi sana
Eti leo hii baada ya kumuona Lissu yu hai ndio wanaanza ngonjeraWATU WANAPIGA PESA ZA RAMBI RAMBI ITAKUWA ZA MATIBABU?
Kaulize kwanza pesa za rambi rambi zimerudi???