johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,028
- 142,088
Ni Ukweli ulio wazi Mikutano ya Tundu Antipas Lissu huwaga na Uhalisia na hata kama kuna sehemu BAVICHA wanamtengenezeaga Maigizo basi huwa wanatumia akili Kubwa.
Mara nyingi Tundu Lissu akisimama jukwaani kwenye mkutano huwa ananikumbusha Mikutano ya baba wa taifa Mwalimu Nyerere.
Mungu wa Mbinguni awabariki 😀
Mara nyingi Tundu Lissu akisimama jukwaani kwenye mkutano huwa ananikumbusha Mikutano ya baba wa taifa Mwalimu Nyerere.
Mungu wa Mbinguni awabariki 😀